Wathubutu kumkamata waone namna nguvu ya umma inavyofanya kazi.
Utaandamana wewe tu, by the way wacha wamkamate tu maana Slaa hafai hata kuwa kiongozi wa kuchunga mifugo yangu.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wathubutu kumkamata waone namna nguvu ya umma inavyofanya kazi.
naona vita ya raia wa Tanzania dhidi ya majeshi ya Tanzania inanukia!
Wanajidanganya hao watu!
Anayefaa ni yupi huyu KIkwete mwenye baraza la Mawaziri wezi,Mke anaye kwenda migodini kuomba michanga,mtoto anayeharibu UVCCM,KIkwete mwenyewe amei weka nchi rehani kakopa benki za biashara zidi ya amana walizonazo yaani nchi imefirisika hakuna pesa kwenye mzunguko, mfumuko juu ,wananchi wana tabu na kuteseka kuliko wakati wowote toka uhuru unawazimu weyeUtaandamana wewe tu, by the way wacha wamkamate tu maana Slaa hafai hata kuwa kiongozi wa kuchunga mifugo yangu.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
akamatwe huwezi kudharau serikali namna hii
Soma post ya kwanza..Wamkamate kwa kosa gani?
Ni kwa kutoa kauli za uchochezi katika mikutano ya hadhara Mwanza na geita. Polisi wanasema alitoa vitisho kwa serikali kwa kuipa serikali siku 3 iwatibu wabunge wa chadema walioshambuliwa na kulipa jeshi la polisi siku 7 likamilishe uchunguzi kwa sakata hili. Kauli hiyo inasemwa ni kinyume na sheria. source: Star tv news