LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Kina andengenye wengi sana kumbe...
Yani Kamanda watumwa ni wengi hawana idadi bado ila hakika mwisho wao waja hakika!
Kina andengenye wengi sana kumbe...
Soma post ya kwanza..
Wamkamate mhalifu gani wakati ni polisi wenyewe ndiyo waliowakata mapanga wabunge wale? hili lakumkamata Dr. Slaa ni kupoteza lengo na kuwaweka watanzania busy wasijadili uozo uliomo serikalini na badala yake wajishughulishe na suala la kukamatwa mkombozi wa kweli wa wananchi. Jambo moja ni wazi, Kikwete na CCM yake watafute pa kukimbilia nchi itakapopata Uhuru kwa maana itawabidi kujibu kila ovu walilolifanya wakati wa himaya yao.Badala ya kukamata wahalifu waliowakata mapanga wabunge wao wanashughulika na Dr Slaa. Nchi hii kichwa cha mwendawazimu kweli
nakufananisha nakuku aliye katwa kichwa sasa anahangaika kufa..mavi wewe!!!
Utaandamana wewe tu, by the way wacha wamkamate tu maana Slaa hafai hata kuwa kiongozi wa kuchunga mifugo yangu.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Wanasubir nini? Kwnini wacmkamate kwanza ndo watangazie umma? Wanaomba public sympathy or what? They are like a donkey lived for 30 years whch hopes to be a horse one day!