duh, unaishi nchi gani bwana green guard??
mkuu ni lazima tumuenzi mwl nyerere kwa kupinga uvunjifu wa amani kwani hawa wapare na wachaga wanataka watuletee vita sisi tulozoea amani, alafu kuna muhuni mmoja eti huwa anasema " ni heri vita inayopigana kutafuta haki kulio amani inayopumbaza na kuzalilisha utu" hivi hii kauli si ya vita vita, inamana ni bora tz iwe kama somalia au sudani?
Kushabikia CDM ni kinyume na maneno matakatifu.
Bora wamkamate huyu mpare mwenye asili ya kichaga kwani anataka kuleta machafuko.
KUSHABIKIA CHADEMA NI SAWA NA KUMTUSI MWL NYERERE.
wanacheza na siku wakimuona dk slaa ameingia ikulu pale wajue wamekwisha watajuta kuwepo tanzania na kuzaliwa tz hapa,
nadhani upo utumwani bwana green guard, usihofu tutakukomboa very soon?
ila mkuu hii kazi nilopewa na kada m1 wa ccm ni ngumu sana kwani napata matusi na kila aina kejeli humu Jf but sito kata tamaa kukipigania chama changu humu jf ambapo watu wake wameathirika ubongo na huwaambii kitu kuhusu CDM.
Ila mwisho wenu CDM unakuja soon.
wanasema alitoa vitisho kwa serikali kwa kuipa serikali siku 3 iwatibu wabunge walioshambuliwa na kulipa jeshi la polisi siku 7 likamilishe uchunguzi kwa sakata hili. Kauli hiyo inasemwa ni kinyume na sheria.
Kama ulisikiliza bunge wiki liyopita wale ndio waliokuwa wanatoa maneno ya uchochezi, Mfano Mh. mmoja alisema '"Nilitaka kumpiga Ekerenge ngumi, lakili niliacha tu kwa kuwa mimi ni mlokole" Mbona huyu hajakamatwa kwa kosa la kutishia kumsababishia Ofisa mkuu wa serikali maumivu, aje akamatwe huyo anayedai Mheshimiwa mbunge aliyeumizwa atibiwe? Tutumie vichwa vyetu vizuri.mkuu ni lazima tumuenzi mwl nyerere kwa kupinga uvunjifu wa amani kwani hawa wapare na wachaga wanataka watuletee vita sisi tulozoea amani, alafu kuna muhuni mmoja eti huwa anasema " ni heri vita inayopigana kutafuta haki kulio amani inayopumbaza na kuzalilisha utu" hivi hii kauli si ya vita vita, inamana ni bora tz iwe kama somalia au sudani?
Kushabikia CDM ni kinyume na maneno matakatifu.
Watanzania hatutaki vita bali tunataka amani so kwa vitendo vya slaa vya uvunjifu wa amani hatuwezi kuvumilia hata kidogo na ninawapongeza polisi kwa uwajibikaji wao kwani ni lazima tuitunze amani kwa gharama yeyote.
CCM haiwezi kuporomoka kamwe. Ni chama pekee hapa Tanzania chenye resources za kutosha kuanzia human as well as capital/financial.
CCM ina watu makini na ambao hawayumbishwi ovyo. Ndio maana umeona mpakaa maamuzi yoyote yachukuliwe, ni lazima tafakuri ya kina ya jambo husika ifanywe.
CCM kamwe haiwezi kuporomoka wa kelele za wapinzani, CCM cha kuiangusha labda kuwepo conflict within the part. So far ndani ya CCM hali ni shwari.
kweli intelijensia ya polisi haifanyi kazi kama alitoroka kwanini hawakujua maana huwa wanadai wanatambua kosa kabla halija fanyika, kwa dr .....slaa intelijensia haikufanya kazi? Ukifuatilia filosofia za elimu zilizotolewa na plato na aristotle utagundua kuwa hawa jamaa walikuwa wanaona mbali sana walisema "walio na akili za wastani ndiyo wanatakiwa kujiunga na jeshi" kwahiyo tusishangae wanayo yafanya hawa polis wetu maana akili haziwatoshi kabisa,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,.