dogo si wakwao yule ni shushushu tu amelaza watu na njaa watoto kuteseka wazazi wao kukosa ajira akijisafisha na rushwa damu zimemlilia naye ngoja aonje utamu pumzika kwa amani jeri muro
Kweli ukiamua kupambana na rushwa uwe makini maana serikali yenyewe ni ya wala rushwa.Jeri Muro alitakiwa awe makini hata kuhama ITV wakati alianzisha mapambano ya rushwa hata kwa polisi trafiki.Ebu angalia Origino comedi inavyozidi kuchuja na watatokomea kabisa maana watanzania hawataki mzaha ila sanaa inayoashiria ukweli na si usanii moja kwa moja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.