chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,722
Leo nimekumbuka kipindi chako kilikuwa ITV sikumbuki jina kipindi kile ukifichua fichua mpaka wakakutia disprini.
Baadae ukaibuka Yanga nako ukawa DJ kushunundu.riziki si mwajuma japo wote ni waislamu ukaja kupata ukuu wa wilaya.
Bwana Jerry Murro una kismart sana ila muda mwengine nilipokujua ulikuwa unajiona umekamilika wakati sisi ndio wenzako watu wa kawaida.
Vijana wengi tunakuwa tuna kasi kushinda malikia wa sheba.
Leo na kusalimia utakuwepo pale posta mpya kijiweni mchana
Baadae ukaibuka Yanga nako ukawa DJ kushunundu.riziki si mwajuma japo wote ni waislamu ukaja kupata ukuu wa wilaya.
Bwana Jerry Murro una kismart sana ila muda mwengine nilipokujua ulikuwa unajiona umekamilika wakati sisi ndio wenzako watu wa kawaida.
Vijana wengi tunakuwa tuna kasi kushinda malikia wa sheba.
Leo na kusalimia utakuwepo pale posta mpya kijiweni mchana