Jerry Murro una kismart sana ila ulikuwa unajiona umekamilika

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
7,581
15,722
Leo nimekumbuka kipindi chako kilikuwa ITV sikumbuki jina kipindi kile ukifichua fichua mpaka wakakutia disprini.

Baadae ukaibuka Yanga nako ukawa DJ kushunundu.riziki si mwajuma japo wote ni waislamu ukaja kupata ukuu wa wilaya.

Bwana Jerry Murro una kismart sana ila muda mwengine nilipokujua ulikuwa unajiona umekamilika wakati sisi ndio wenzako watu wa kawaida.

Vijana wengi tunakuwa tuna kasi kushinda malikia wa sheba.

Leo na kusalimia utakuwepo pale posta mpya kijiweni mchana
 
Sijawai kuona watu wana wivu kama wanaume.
Yaani mwenzake asipate.ndo maana ushirikina hauishi nchi hii full kulogana.
Kwani akipata shida wewe unafaidi nini??
Tafuta hela wewe.ungekuwa na hela cheo cha ukuu wa wilaya ni mambo madogo sana wala usingeona ni issue.
 
Sijawai kuona watu wana wivu kama wanaume.
Yaani mwenzake asipate.ndo maana ushirikina hauishi nchi hii full kulogana.
Kwani akipata shida wewe unafaidi nini??
Tafuta hela wewe.ungekuwa na hela cheo cha ukuu wa wilaya ni mambo madogo sana wala usingeona ni issue.

Sent from my SM-A725F using JamiiForums mobile app
Kwani mleta uzi umemuelewa dada???
 
Tafuta hela wewe.ungekuwa na hela cheo cha ukuu wa wilaya ni mambo madogo sana wala usingeona ni issue
You nailed it Mamaa, ukiwa na pesa huna limitations as long as huvunji sheria!!!
-Ibiza utaenda
-Private jet uta own
-Utaishi nyumba kubwa kwenda juu, chini au pembeni
-Private security unit unaajiri etc...
Mjubs atafute hela apunguze makasiriko!
 
Kaishakuwa mkuu wa wilaya unadhani takuwa njaa kama sisi, labda awe akili mbovu ndio atarudi chini.

Tutafute pesa, chuki hazisaidii kaka.
 
Leo nimekumbuka kipindi chako kilikuwa ITV sikumbuki jina kipindi kile ukifichua fichua mpaka wakakutia disprini.

Baadae ukaibuka Yanga nako ukawa DJ kushunundu.riziki si mwajuma japo wote ni waislamu ukaja kupata ukuu wa wilaya.

Bwana Jerry Murro una kismart sana ila mda mwengine kuto nilipokujua ulikuwa unajiona umekamilika wakati sisi ndio wenzako watu wa kawaida.

Vijana wengi tunakuwa tuna kasi kushinda malikia wa sheba.

Leo na kusalimia utakuwepo pale posta mpya kijiweni mchana
Humjui vizuri huyu. Tunza maneno haya.
 
Back
Top Bottom