Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,420
Akizungumza na Clouds TV , Mkuu wa Wilaya aliyestaafu kwa mujibu wa sheria , Mh Jerry Murro amesema kwamba , anamiss sana mambo ya uandishi wa habari na hasa habari za Uchunguzi .
Akizungumza kwa unyenyekevu huku akionekana afya yake imeporomoka kidogo , lakini akiwa bado na uso wenye Bashasha , amemwambia Gadner G Habash kwamba , kwenye hii ripoti ya CAG lazima angeibuka na Makala ya Uchunguzi
Nimefarijika sana kumsikia Jerry Murro akiongea kwa upole namna hii , kumbe kila jambo linawezekana .
Toa Maoni yako
Akizungumza kwa unyenyekevu huku akionekana afya yake imeporomoka kidogo , lakini akiwa bado na uso wenye Bashasha , amemwambia Gadner G Habash kwamba , kwenye hii ripoti ya CAG lazima angeibuka na Makala ya Uchunguzi
Nimefarijika sana kumsikia Jerry Murro akiongea kwa upole namna hii , kumbe kila jambo linawezekana .
Toa Maoni yako