maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,144
- 15,145
Leo naangalia fainali ya AFCON kupitia TBC1 kutokana na mazingira niliyopo. Ila cha ajabu huyu mtangazaji somebody Upete anaboa anatuongelea kiarabu, hivi ndio professionalism yenu hii TBC1?
Au hamjui sio wote wanaelewa hiyo lugha? Mnawatoa wapi hawa watangazaji wanajifanya mamwinyi waarabu wa kuokota?
Yaani TV ya taifa kabisa? Ingekua kama Azam au Wasafi angalau isingekua na shida.
Au hamjui sio wote wanaelewa hiyo lugha? Mnawatoa wapi hawa watangazaji wanajifanya mamwinyi waarabu wa kuokota?
Yaani TV ya taifa kabisa? Ingekua kama Azam au Wasafi angalau isingekua na shida.