Hahahaaaaa kale kazee noma..kaliiba uchawi wa Asprin then kakamroga Asprin apende Ile kitu namesa mwenzake kuliko kula ndio maana siku hizi babu anaweza kukagua siku nzima bila kula hadi anashindwa kuamka!Hivi unahabari Bishanga ni mzee kama kwenye avatar yake ?....sasa kazee kama kale wewe kanakutishaje jamani ?
Duh nawewe naweee lol huna subira kuficha?
Sawa bhana ngoja nizingoje nyumba ndogo zangu Remmy cacico BADILI TABIA Yummy waje waniambie kama wanakubaliana na kauli zako
Pia nawaita Asprin mkaguzi mkuu,Kaka Kaizer platozoom dogo langu la ukweli, Mr Rocky (Aliyempa mimba Yummy) na dada kipenzi gfsonwin
Sitawasahau Kipipi (Miss you sana mpenzi), Catherine (Love u more ma dia), CUTE (Come here love) Amyner (Always In ma heart)....na mgeni mwenyeji wetu AmKATRINA
Kwa pamoja nawaomba mje msikilize kashfa za huyu dogo TANMO kwa Bishanga na kwa ujumla
Hahahahahahaha lol wewe ujue nusura nivunje mbavu hahahaha ! kumbe na wewe umemstukia platozoom eeh ? Nimecheka sana walah daaah !
Muone vile,, yaani ndiyo mnaanza kupigana mabusu kwenye sredi yangu?
Hahahahaha jamani Preta ana dhambi lol......pole mwaya usijali utapata mwingine !
TANMO bwana, baada ya kula mtaji wa gazeti la udaku sasa unakuja na huu utani....
Kausha Bana,,, mbona unanimaind wakati mwenyewe unona kabisa sijagusia ishu ya Msuba kwa sababu nakufichia soo?
Hahahaaaa alidhaminiwa kesi na Bishanga so walihongahadi akashinda kesi aiseeHivi kumbe ile mimba ya Yummy huyu Bwana Rocky naye alichangia damu?
Hivi kumbe Kipipi na Catherine nao pia ni nyumba ndogo zako?
Amyner anawatambua hawa ma wife mates wake?
Huyu Platozoom uliyemtaja kwani amechatoka rumande baada ya kukutwa na kiroba cha Msuba?
Hivi kwa huyu Badili Tabia tupo wangapi jamani?
Babu Asprin alishinda ile kesi yake ya kumshika makalio mama muuza wa mtaani kwao?
Hahahaaaa ndio ukomeMkuu unanitonesha vidonda vya kupigwa vibuti mbele ya kadamnasi....
Hahahaaa huyu dogo nimemsoma sana aisee hasa akiwa Tilalila loh hakamatiki we tulia lazma atakuja kwako kuomba majaribio ya ukaguziHahahahahahaha lol wewe ujue nusura nivunje mbavu hahahaha ! kumbe na wewe umemstukia platozoom eeh ? Nimecheka sana walah daaah !