Jei Efu Bana..

Hivi unahabari Bishanga ni mzee kama kwenye avatar yake ?....sasa kazee kama kale wewe kanakutishaje jamani ?
Hahahaaaaa kale kazee noma..kaliiba uchawi wa Asprin then kakamroga Asprin apende Ile kitu namesa mwenzake kuliko kula ndio maana siku hizi babu anaweza kukagua siku nzima bila kula hadi anashindwa kuamka!
Ila platozoom nae naona anakuja kwa kasi sijui nayeye kalogwa
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaa kale kazee noma..kaliiba uchawi wa Asprin then kakamroga Asprin apende Ile kitu namesa mwenzake kuliko kula ndio maana siku hizi babu anaweza kukagua siku nzima bila kula hadi anashindwa kuamka!
Ila platozoom nae naona anakuja kwa kasi sijui nayeye kalogwa

Hahahahahahaha lol wewe ujue nusura nivunje mbavu hahahaha ! kumbe na wewe umemstukia platozoom eeh ? Nimecheka sana walah daaah !
 
Last edited by a moderator:
Duh nawewe naweee lol huna subira kuficha?
Sawa bhana ngoja nizingoje nyumba ndogo zangu Remmy cacico BADILI TABIA Yummy waje waniambie kama wanakubaliana na kauli zako
Pia nawaita Asprin mkaguzi mkuu,Kaka Kaizer platozoom dogo langu la ukweli, Mr Rocky (Aliyempa mimba Yummy) na dada kipenzi gfsonwin
Sitawasahau Kipipi (Miss you sana mpenzi), Catherine (Love u more ma dia), CUTE (Come here love) Amyner (Always In ma heart)....na mgeni mwenyeji wetu AmKATRINA
Kwa pamoja nawaomba mje msikilize kashfa za huyu dogo TANMO kwa Bishanga na kwa ujumla

Hivi kumbe ile mimba ya Yummy huyu Bwana Rocky naye alichangia damu?
Hivi kumbe Kipipi na Catherine nao pia ni nyumba ndogo zako?
Amyner anawatambua hawa ma wife mates wake?
Huyu Platozoom uliyemtaja kwani amechatoka rumande baada ya kukutwa na kiroba cha Msuba?
Hivi kwa huyu Badili Tabia tupo wangapi jamani?
Babu Asprin alishinda ile kesi yake ya kumshika makalio mama muuza wa mtaani kwao?
 
Wewe endelea tu kumchafua mdhamini wa chit chat
TANMO umesema Bishanga mchawi eeh ?

mtu wa kawaida hawezi kuiba mke wa mtu tena kwenye nchi za watu...
Ila sijasema Bishanga ni yuko hivyo, nimewaza tu...

Hahahahaha jamani Preta ana dhambi lol......pole mwaya usijali utapata mwingine !

Yaani Preta we muone vile tu. Ni alinifanya kitu mbaya mpaka sina hamu...

TANMO bwana, baada ya kula mtaji wa gazeti la udaku sasa unakuja na huu utani....

Gazeti la udaku lilitaka kunifanya ni-RIP mkuu. Nilikuwa nawindwa usiku na mchana..
 
Hivi kumbe ile mimba ya Yummy huyu Bwana Rocky naye alichangia damu?
Hivi kumbe Kipipi na Catherine nao pia ni nyumba ndogo zako?
Amyner anawatambua hawa ma wife mates wake?
Huyu Platozoom uliyemtaja kwani amechatoka rumande baada ya kukutwa na kiroba cha Msuba?
Hivi kwa huyu Badili Tabia tupo wangapi jamani?
Babu Asprin alishinda ile kesi yake ya kumshika makalio mama muuza wa mtaani kwao?
Hahahaaaa alidhaminiwa kesi na Bishanga so walihongahadi akashinda kesi aisee
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaa kale kazee noma..kaliiba uchawi wa Asprin then kakamroga Asprin apende Ile kitu namesa mwenzake kuliko kula ndio maana siku hizi babu anaweza kukagua siku nzima bila kula hadi anashindwa kuamka!
Ila platozoom nae naona anakuja kwa kasi sijui nayeye kalogwa

P hajalogwa bwana, aliyelogwa ni asp tena kalogwa vibaya na wa kumlogololowa naye kalogwa.af E leo mbona unaonekana na kama chale chale hivi hapo usoni umepigwa lini hizo chata wng.usipinge hii kitu wt wote wanakushangaa leo, go moja kwa moja kwa ans
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom