sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Hahahaaaaaaaaa kwa raha zetu meeeeen!Muone vile,, yaani ndiyo mnaanza kupigana mabusu kwenye sredi yangu?
HahahaaaaaaaaaaaKhaaaaa lol.....umenishtua kidogo nimwage uji !
Mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa !
Ndo bado nimeshika tama namshangaa hapa..
Hebu kwa kumkomoa nipige busu mimi badala yake..
Tena biashara ya ndizi mwaka huu iko juu sana aisee lazma kakumalize mazima TANMOMamaaa weeeee!
mimi sijasema hivyo Bana,, (hili ni lako neno)... Kajamaa nasikia kanapiga nondo siku hizi Bana, mbavu zangu bado nazitaka,, Ebo!!!
Hahahaaaaaaaaaaa
Umenifurahisha sana
Miss you sana mumy
Wow!!
Hebu ngoja nilisikilizie kwanza halafu nitakuambia kama linatosha.:nerd:
Duh nawewe naweee lol huna subira kuficha?Haya majina haya, ndiyo hasa nayazungumzia..
Yule ndio mdhamini wa Show zote Chit Chat kaka hujui kijanaHakyaMungu tena kila anayechangia humu ni lazima amtaje Huyu Bepari, inabidi niage kabisa kabla hajafika...
Hivi inawezekana kutembea kutoka Mabwepande mpaka Oldonyo? Jasti in kesi Aisee....
Mamaaa weeeee!
mimi sijasema hivyo Bana,, (hili ni lako neno)... Kajamaa nasikia kanapiga nondo siku hizi Bana, mbavu zangu bado nazitaka,, Ebo!!!