Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Na wewe nawee!Hahahaha unakula daku sa 3 lol......unavunja sharia bana !
SL !
Umekuaje ?
Alokwambia means ya DAKU lazima iwe ubwabwa , chapati, au nini viko mezani ndiyo daku ? Nani kakwambia?
Huyo si ni mtu mdhima ?
Akikwambia daku si lazima iwe daku uijuayo wewe!
Daku iko na category nyingi !
Usikue na formula moja kama ya bata kuangukia kushoto!
Nway vipi shem tumepotezana long faka !
Kulikoni ?