Jei Efu Bana..

Hahahaha unakula daku sa 3 lol......unavunja sharia bana !
Na wewe nawee!
SL !
Umekuaje ?
Alokwambia means ya DAKU lazima iwe ubwabwa , chapati, au nini viko mezani ndiyo daku ? Nani kakwambia?
Huyo si ni mtu mdhima ?
Akikwambia daku si lazima iwe daku uijuayo wewe!
Daku iko na category nyingi !
Usikue na formula moja kama ya bata kuangukia kushoto!
Nway vipi shem tumepotezana long faka !
Kulikoni ?
 
Tatizo lako we TANMO umekuwa ka pimbi aliyegawa mikia yote akasahau kujibakizia,yaani katika wambeya wa jf umesahau kujioridhesha pamoja na mpaka kuanzisha kiu/ijumaa ya jf?
Ama kweli nyani haoni kundule!

Eti nyani nini...?
 
Na wewe nawee!
SL !
Umekuaje ?
Alokwambia means ya DAKU lazima iwe ubwabwa , chapati, au nini viko mezani ndiyo daku ? Nani kakwambia?
Huyo si ni mtu mdhima ?
Akikwambia daku si lazima iwe daku uijuayo wewe!
Daku iko na category nyingi !
Usikue na formula moja kama ya bata kuangukia kushoto!
Nway vipi shem tumepotezana long faka !
Kulikoni ?

Shem mie good enough......majukumu tu shem langu ndiyo yanafanya tupotezane !

Hiyo daku ya Erickb52 nishaielewa so wacha nikae kimya lol !
 
Last edited by a moderator:
Na wewe nawee!
SL !
Umekuaje ?
Alokwambia means ya DAKU lazima iwe ubwabwa , chapati, au nini viko mezani ndiyo daku ? Nani kakwambia?
Huyo si ni mtu mdhima ?
Akikwambia daku si lazima iwe daku uijuayo wewe!
Daku iko na category nyingi !
Usikue na formula moja kama ya bata kuangukia kushoto!
Nway vipi shem tumepotezana long faka !
Kulikoni ?

Sikuwahi kujua kama una maneno ya hekma kama haya
 
Kwikwikwiiiiiiiiiiiiiii........!
Sasa wewe utalinganisha zama za mawe na chuma?
Hata zile za mawe ya kale, Kati na mwisho hazifanani....
 
Yaani Judgement kama hajapita bar huwa ana maneno ya busara na hekima sana platozoom !

SL !
Ntakerazi mie Alhaji ujue ?
Afu mie kama shem wako , hujui kama nikuupiga juu ya meza unazurika ?
Haya ntakerazi kabla sijakusasambulia!
Ohooo!
Ntamwaga ? Usinifanye nikasaula ! In front of ze pipo .
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom