Je, Zanzibar inasonga mbele au nyuma?

Mauza Uza unaelewa kitu human nature ?kima mahali katika dunia hii watu waiashi katika mazingira waliyo jichagulia kama vile maisha ya kimakabila ,sasa unapokuja na hoja za kuwasema watu fulani unatakiwa kwanza utowe uovu wako binafsi ,hapa bara kuna maneno mengi kama yako huwambiwa waisilamu kuwa wavivu hawana elimu nk ,na ukija kwa upande wa zanzibar kuna maneno kama hayo lakini cha kushangaza umewataja wazanzibar waishio ulaya na namna gani wanaishi,huku ukijifanya umehafilika kueleza kiwango kikubwa cha wanawake wanaotoka Tanganyika wanaoishi UK na German wengi wao wanajishuhulisha na kazi za kuuza mili yao,wamechukuwa nafasi iliyokuwa ya wa ghana,ukienda HUMBUG ni aibu hata kujiita MTanzania,kule Uk wamekuwa ndio tambara bovu la wanigeria (watu wakale)na mataifa mengine.


Mimi nadhani kuna kitu watu hawakifahamu, hawa vijana wengi wanaochukua welfare ulaya basi huwa wanafanya kazi vile vile, wenyewe wanaita kazi za mvungu wa meza, hivyo wanakuwa na double income, ni wachache ambao wanategemea welfare tu. Sidhani kama 95% ya wazanzibari waishio ulaya wanategemea welfare tu, sasa hizi nyumba wanazozijenga kwao Zanzibar pesa wanazitolea wapi?.
 
Mimi nadhani kuna kitu watu hawakifahamu, hawa vijana wengi wanaochukua welfare ulaya basi huwa wanafanya kazi vile vile, wenyewe wanaita kazi za mvungu wa meza, hivyo wanakuwa na double income, ni wachache ambao wanategemea welfare tu. Sidhani kama 95% ya wazanzibari waishio ulaya wanategemea welfare tu, sasa hizi nyumba wanazozijenga kwao Zanzibar pesa wanazitolea wapi?.


sio wazanzibar tu katika jamii ya TANZANIA wanoishi ulaya Hata ndugu zetu wa Kitanganyika pia ambao ni marufu kwa kuuza vipipi(Lactogen) na wao wanajenga vipi nyumba na kuleta magari ya kifahari kila miezi michache?wakati wazungu wenye nchi wanadima na maisha .
 
sio wazanzibar tu katika jamii ya TANZANIA wanoishi ulaya Hata ndugu zetu wa Kitanganyika pia ambao ni marufu kwa kuuza vipipi(Lactogen) na wao wanajenga vipi nyumba na kuleta magari ya kifahari kila miezi michache?wakati wazungu wenye nchi wanadima na maisha .

Ndugu zetu wana usanii wakiaina, unafanya mchezo na maisha ya kukulia Bongo - unatia akili ukitaka usitake na ukienda Ulaya unakuwa umejanjaruka kuwapita wenye nchi. Tunakandia hali ngumu ya maisha Bongo tu lakini kwa upande mwengine inatutia akili ya kiutafutaji vile vile.
 
Hivi hakuna mdau anayeweza kuelezea ni kwa jinsi gani hili taifa kama lina songa mbele ama nyuma?
 
Hivi hakuna mdau anayeweza kuelezea ni kwa jinsi gani hili taifa kama lina songa mbele ama nyuma?

Mimi nadhani tupo pale pale tulipo kuwepo wakati wa Uhuru. Kuwa na hali ya 1964 mwaka 2009 lazima uonekane kama una rudi nyuma.
 
mm naona hatua za mlevi yaani mbili mbele nne nyuma.
Yaani ni sawa na kutema mate upande wa kushoto, alafu anafukia upande wa kulia...!
MwanaFalsafa1 said:
Mimi nadhani tupo pale pale tulipo kuwepo wakati wa Uhuru
4891d1245189128-je-zanzibar-inasonga-mbele-au-nyuma-mapinduzi.jpeg


Je kwa mtindo huu, kutapatikana maendeleo kweli!?
Mapinduzi.jpeg
 
Enhe., Miswaada kama ipi. Eleleza -tupo jamvini hapa. Hii sweeping statements zako hazisaidii hapa!!!
Unaelewa maana ya MISWADA lakini?

Kusamee kodi kwa mashirika ya kigeni, wewe unaona sawa... au haukupelekwa muswada bungeni wa kusamee kodi!?

Try to chew yourself sometimes.
 
Mafuta Zanzibar

Maelezo:
Hizi ni video za vikao vya baraza la wawakilishi la Zanzibar na Director wa Opec alietumwa kuenda huko visiwani kuwashawishi wazanzibari jinsi gani watafaidika na mapato ya mafuta ikiwa watachanganya suala zima la mafuta kulifanya liwe la muungano.Hii ni mara ya mwanzo toka nizaliwe kuona viongozi wa Zanzibar na Afrika kuja juu kwa manufaa ya raia wasio na hatia: zaidi Bonyeza Hapa MZALENDO.NET video

Iyo saiti nzima ilikuwa iko kwenye majaribio, sasa link iyo inapatikana

Mafuta Zanzibar 1

Mafuta Zanzibar 2

Mafuta Zanzibar 3
 
Back
Top Bottom