Mauza Uza unaelewa kitu human nature ?kima mahali katika dunia hii watu waiashi katika mazingira waliyo jichagulia kama vile maisha ya kimakabila ,sasa unapokuja na hoja za kuwasema watu fulani unatakiwa kwanza utowe uovu wako binafsi ,hapa bara kuna maneno mengi kama yako huwambiwa waisilamu kuwa wavivu hawana elimu nk ,na ukija kwa upande wa zanzibar kuna maneno kama hayo lakini cha kushangaza umewataja wazanzibar waishio ulaya na namna gani wanaishi,huku ukijifanya umehafilika kueleza kiwango kikubwa cha wanawake wanaotoka Tanganyika wanaoishi UK na German wengi wao wanajishuhulisha na kazi za kuuza mili yao,wamechukuwa nafasi iliyokuwa ya wa ghana,ukienda HUMBUG ni aibu hata kujiita MTanzania,kule Uk wamekuwa ndio tambara bovu la wanigeria (watu wakale)na mataifa mengine.
Mimi nadhani kuna kitu watu hawakifahamu, hawa vijana wengi wanaochukua welfare ulaya basi huwa wanafanya kazi vile vile, wenyewe wanaita kazi za mvungu wa meza, hivyo wanakuwa na double income, ni wachache ambao wanategemea welfare tu. Sidhani kama 95% ya wazanzibari waishio ulaya wanategemea welfare tu, sasa hizi nyumba wanazozijenga kwao Zanzibar pesa wanazitolea wapi?.