Junius
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 3,181
- 139
Mauza uza,
Tuje katika takwimu, asilimia 95% ya wazanzibar wanaishi uk kwa benefit, sample kila wazanzibar 10, tisa wanaishi kwa benefiti.Na ulaya nzima bw. Mauza uza ukaitembea ukafanya takwimu zako hukusema sample za wazanzibari wangapi umechukuwa na ukaona wangapi wanaishi kwa benefit ila ukaja na 90% sawa,
Halafu unaashria kusema kuwa kutoka na takwimu zako, zanzibar ni nchi ya benefit haiwezi kuendelea kana kwamba uchumi wa zanzibar unategemea maisha ya wazanzibar walioko nje, na kusahau kuwa idadi ya wazanzibar walioko nje ni nduuchu ukilinganisha na wale waliopo zanzibar na tzbara ambao wanachangia moja kwa moja pato la uchumi wa taifa kupitia biashara wanazofanya kwa kodi wanazolipa.
Kama sample zako za kila wazanzibari 10, tisa wanaishi kwa benefit ndizo zinazo determine maendeleo ya taifa zima kwa ujumla, basi tukubaliane katika hili kuwa hapa Ujerumani kuna wavulana na wasichana wengi kutoka tz bara wengine wanafunzi, bila kutoka hapa nilipo kwenda kuwahesabu maeneo mbalimbali walipo,shughuli wanazofanya za kuuza miili yao na madawa ya kulevya, zinawapatia kipato si haba, mm siiti hii ni benefit kwa sababu wenyewe wanaiita kazi, wala siwezi kusema kuwa tz ni nchi ya biashara ya ukahaba na madawa ya kulevya, kwa kuwa baadhi ya raia zake walioko nje huku wanapata kipato kwa njia hiyo.Nnachoweza kusema ambacho ni sahihi kuwa bado nchi yetu yote ni tegemezi kwa kuwa hata bajeti yake ni tegemezi, inategeme msukumo mkubwa kwa mataifa hayo hayo ambayo upo ww huko bw. Mauza uza na aidha uwe unategemea benefit au la, lakini nchi yako bado inategemea sehemu kubwa misaada ya nje ili bajeti yake ya kuwapa tonge jamaa zako huko Tz isomeke.
Kuhusu uvivu, bw. Mauza uza wazanzibar uvivu wao kuishi na mke mmoja tu, hawatosheki wanata nyama nne, ila kwa kuhangaika maisha hili usiseme wenyewe watajisemea. Nilikuwa mashariki ya Kati (Israel n Palestina) nimewakuta wazanzibar wakifanya kazi mpaka katika makambi ya wakimbizi (red cross and crescent), achilia mbali huko Tz kila pahala wametawanyika wanahangaika maisha, pengine kwako ww hii ni ivivu, haya nakubali, lakini wenzako tunahangaika ww endelea na matusi, bezo na dharau.
Tuje katika takwimu, asilimia 95% ya wazanzibar wanaishi uk kwa benefit, sample kila wazanzibar 10, tisa wanaishi kwa benefiti.Na ulaya nzima bw. Mauza uza ukaitembea ukafanya takwimu zako hukusema sample za wazanzibari wangapi umechukuwa na ukaona wangapi wanaishi kwa benefit ila ukaja na 90% sawa,
Halafu unaashria kusema kuwa kutoka na takwimu zako, zanzibar ni nchi ya benefit haiwezi kuendelea kana kwamba uchumi wa zanzibar unategemea maisha ya wazanzibar walioko nje, na kusahau kuwa idadi ya wazanzibar walioko nje ni nduuchu ukilinganisha na wale waliopo zanzibar na tzbara ambao wanachangia moja kwa moja pato la uchumi wa taifa kupitia biashara wanazofanya kwa kodi wanazolipa.
Kama sample zako za kila wazanzibari 10, tisa wanaishi kwa benefit ndizo zinazo determine maendeleo ya taifa zima kwa ujumla, basi tukubaliane katika hili kuwa hapa Ujerumani kuna wavulana na wasichana wengi kutoka tz bara wengine wanafunzi, bila kutoka hapa nilipo kwenda kuwahesabu maeneo mbalimbali walipo,shughuli wanazofanya za kuuza miili yao na madawa ya kulevya, zinawapatia kipato si haba, mm siiti hii ni benefit kwa sababu wenyewe wanaiita kazi, wala siwezi kusema kuwa tz ni nchi ya biashara ya ukahaba na madawa ya kulevya, kwa kuwa baadhi ya raia zake walioko nje huku wanapata kipato kwa njia hiyo.Nnachoweza kusema ambacho ni sahihi kuwa bado nchi yetu yote ni tegemezi kwa kuwa hata bajeti yake ni tegemezi, inategeme msukumo mkubwa kwa mataifa hayo hayo ambayo upo ww huko bw. Mauza uza na aidha uwe unategemea benefit au la, lakini nchi yako bado inategemea sehemu kubwa misaada ya nje ili bajeti yake ya kuwapa tonge jamaa zako huko Tz isomeke.
Kuhusu uvivu, bw. Mauza uza wazanzibar uvivu wao kuishi na mke mmoja tu, hawatosheki wanata nyama nne, ila kwa kuhangaika maisha hili usiseme wenyewe watajisemea. Nilikuwa mashariki ya Kati (Israel n Palestina) nimewakuta wazanzibar wakifanya kazi mpaka katika makambi ya wakimbizi (red cross and crescent), achilia mbali huko Tz kila pahala wametawanyika wanahangaika maisha, pengine kwako ww hii ni ivivu, haya nakubali, lakini wenzako tunahangaika ww endelea na matusi, bezo na dharau.