Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,705
- 36,159
Habari!
Walimu ndio wenye number kubwa katika utumishi wa umma wakifuatiwa na wanajeshi, polisi na kada zingine.
Zamani nikipohoji kwanini maslahi ya Walimu ni kidogo nikaambiwa kwakuwa idadi yao ni kubwa hivyo kama ukiwalipa pesa nyingi serikali itakuwa na mzigo mkubwa zaidi.
Hili jibu kumbe halina ukweli. Jibu la ukweli ni kwamba serikali inakulipa kulingana na utashi (ufahamu wako).
Serikali imeona kuwa hili kundi halina utashi kichwani ndio maana huwalipa pesa kidogo. Kama walishindwa kudai haki zao za msingi kipindi cha nyuma ambapo mtaani hapakuwa na walimu wasio na ajira sasa kipindi hichi ambacho wakitaka kuinua kinywa tu wataambiwa tutaajiri wengine ku-replace nafasi zenu wataufyata na kulia wenyewe vyumbani mwao.
Unaendeaje likizo ya malipo bila kulipwa? Huu sio utahira? Wengine mpaka wanahamishwa na kuhamia kituo B pesa wanaisubiria wakiwa wanapiga kazi. Serikali Ina pesa nyingi tu, kucheleweshewa maslahi yao ni kwasababu ya uzwazwa uliomo kichwani mwao. Mbona wàbunge wakistaafu mamilioni yao wanayapata ndani ya siku chache?
Leo hii Walimu hutumiwa na wanasiasa kujiimarisha huku maticha wenyewe wakipiga makofi . Kada zingine wakiwa na semina malipo hufuata miongozo ya kiutumishi. Mwalimu anaweza kufanyiwa semina siku 5 akaambulia laki 2.5 huku watumishi wengine hizo siku tano wanaweza kulipwa mara 2 au mara 4 ya malipo ambayo amelipwa mwalimu.
Walimu wanaweza kufanyishwa semina leo wakalipwa miezi 3 mbele huku kada zingine wañalipwa ndani mara tu wakimaliza semina.
Walimu ndio wenye number kubwa katika utumishi wa umma wakifuatiwa na wanajeshi, polisi na kada zingine.
Zamani nikipohoji kwanini maslahi ya Walimu ni kidogo nikaambiwa kwakuwa idadi yao ni kubwa hivyo kama ukiwalipa pesa nyingi serikali itakuwa na mzigo mkubwa zaidi.
Hili jibu kumbe halina ukweli. Jibu la ukweli ni kwamba serikali inakulipa kulingana na utashi (ufahamu wako).
Serikali imeona kuwa hili kundi halina utashi kichwani ndio maana huwalipa pesa kidogo. Kama walishindwa kudai haki zao za msingi kipindi cha nyuma ambapo mtaani hapakuwa na walimu wasio na ajira sasa kipindi hichi ambacho wakitaka kuinua kinywa tu wataambiwa tutaajiri wengine ku-replace nafasi zenu wataufyata na kulia wenyewe vyumbani mwao.
Unaendeaje likizo ya malipo bila kulipwa? Huu sio utahira? Wengine mpaka wanahamishwa na kuhamia kituo B pesa wanaisubiria wakiwa wanapiga kazi. Serikali Ina pesa nyingi tu, kucheleweshewa maslahi yao ni kwasababu ya uzwazwa uliomo kichwani mwao. Mbona wàbunge wakistaafu mamilioni yao wanayapata ndani ya siku chache?
Leo hii Walimu hutumiwa na wanasiasa kujiimarisha huku maticha wenyewe wakipiga makofi . Kada zingine wakiwa na semina malipo hufuata miongozo ya kiutumishi. Mwalimu anaweza kufanyiwa semina siku 5 akaambulia laki 2.5 huku watumishi wengine hizo siku tano wanaweza kulipwa mara 2 au mara 4 ya malipo ambayo amelipwa mwalimu.
Walimu wanaweza kufanyishwa semina leo wakalipwa miezi 3 mbele huku kada zingine wañalipwa ndani mara tu wakimaliza semina.