Walimu tulioajiriwa mwaka 2019 Ruangwa, Lindi, hatujalipwa pesa zetu za kujikimu hadi sasa

kibakulism

New Member
Aug 13, 2023
1
2
Walimu wa ajira ya 2019 May, katika halmashauri ya wilaya Ruangwa -lindi, hatujalipya pesa ya kujikimu tangu kuajiriwa kwetu.

Kilichotokea ni kwamba, tulivyoajiriwa na serkali mwezi mei 2019, serkali ilituma pesa za kujikimu ili tulipwe, lakini pesa hivyo, ikatokea sintofahamu na hazikulipwa.

Baada ya kufuatilia tukaambiwa ni kweli pesa zililetwa ila hazikuwa na kifungu, kwahiyo kwakuwa ilikuwa mwishoni mwa mwaka wa serkali (yaani mwezi wa sita mwishoni), kwahiyo serkali ilizirudisha pesa hizo hazina.

Tukaulizia halmashauri zingine zikiwemo na za mkoa lindi, ajira mpya wote wamepata. Tukawauliza mbona wengine wamelipwa sehemu zingine, wakasema ngoja tunaziomba tena hazina mtapewa.
Tukawaomba watuandikie barua hayo majibu, lakini mpaka leo barua hatujapewa.

Hatukuishia hapo, kulikuwa na usahihishaji wa mtihani wa mkoa Nachingwea, baada ya kumaliza kazi hiyo, Afisa elimu taaluma mkoa akatoa neno na kuuliza kama kuna mtu ana changamoto zozote. Mmoja wetu akasema hatujalipwa pesa ya kujikimu, akashangaa akasema mbona taarifa nilizonazo hakuna ambaye hajalipwa wote mkoa wa Lindi wamelipya. Akatoa agizo tulipwe lakini mpaka sasa hatujalipwa.

Inavyoonekana hizo pesa zilibadilishiwa matumizi, kwasababu baada ya kuwasumbua sana, wakasema tutawalipa kwa mapato ya ndani. Wanaongea hivyo ili tutulie kwasababu hawajawahi kuiweka hata kwenye bajeti, sasa unalipaje bajeti yake hauna.

Kiufupi wanatumia uwepo wa Waziri Mkuu, kama sehemu ya kuwakandamiza watumishi katika halmashauri hii, Mh. Waziri Mkuu anajitahidi sana kuboresha elimu huku kwake, anapambana apate walimu, lakini hawa viongozi wa halmashauri wanakwamisha mipango hiyo kwa maslahi yao binafsi, kiasi kwamba watumishi wengi wanatamani kuhama.

Mazingira sio rafiki kwa watumishi kubaki hapa. Kwahiyo pesa zetu za kujikimu mpaka sasa ni hazijatolewa.
Tunaomba serikali yetu iliyo makini iliangalie swala hili, kwasababu ni haki yetu kupata.

Asante!

Pia soma - Ajira mpya Afya Halmashauri ya Rombo hatujalipwa fedha za kujikimu
 
Yani umekula mishahara miezi sitini shida zako hazijaisha unafikilia hiyo laki tatu na nusu ukipata shida zako zitaisha mwalimu, fanya kazi usijipe stress zisizo na msingi kama mlishindwa kudai mda ule mnaanza ajira leo hii nani atawasikiliza kwanza wenzako wengine washasahau kwani tayali wanachukua mishahara wapo busy na mipango yao njaa imepungua vigumu maharishi mkadai maana hawana njaa
 
Walimu wa ajira ya 2019 May, katika halmashauri ya wilaya Ruangwa -lindi, hatujalipya pesa ya kujikimu tangu kuajiriwa kwetu.

Kilichotokea ni kwamba, tulivyoajiriwa na serkali mwezi mei 2019, serkali ilituma pesa za kujikimu ili tulipwe, lakini pesa hivyo, ikatokea sintofahamu na hazikulipwa.

Baada ya kufuatilia tukaambiwa ni kweli pesa zililetwa ila hazikuwa na kifungu, kwahiyo kwakuwa ilikuwa mwishoni mwa mwaka wa serkali (yaani mwezi wa sita mwishoni), kwahiyo serkali ilizirudisha pesa hizo hazina.

Tukaulizia halmashauri zingine zikiwemo na za mkoa lindi, ajira mpya wote wamepata. Tukawauliza mbona wengine wamelipwa sehemu zingine, wakasema ngoja tunaziomba tena hazina mtapewa.
Tukawaomba watuandikie barua hayo majibu, lakini mpaka leo barua hatujapewa.

Hatukuishia hapo, kulikuwa na usahihishaji wa mtihani wa mkoa Nachingwea, baada ya kumaliza kazi hiyo, Afisa elimu taaluma mkoa akatoa neno na kuuliza kama kuna mtu ana changamoto zozote. Mmoja wetu akasema hatujalipwa pesa ya kujikimu, akashangaa akasema mbona taarifa nilizonazo hakuna ambaye hajalipwa wote mkoa wa Lindi wamelipya. Akatoa agizo tulipwe lakini mpaka sasa hatujalipwa.

Inavyoonekana hizo pesa zilibadilishiwa matumizi, kwasababu baada ya kuwasumbua sana, wakasema tutawalipa kwa mapato ya ndani. Wanaongea hivyo ili tutulie kwasababu hawajawahi kuiweka hata kwenye bajeti, sasa unalipaje bajeti yake hauna.

Kiufupi wanatumia uwepo wa Waziri Mkuu, kama sehemu ya kuwakandamiza watumishi katika halmashauri hii, Mh. Waziri Mkuu anajitahidi sana kuboresha elimu huku kwake, anapambana apate walimu, lakini hawa viongozi wa halmashauri wanakwamisha mipango hiyo kwa maslahi yao binafsi, kiasi kwamba watumishi wengi wanatamani kuhama.

Mazingira sio rafiki kwa watumishi kubaki hapa. Kwahiyo pesa zetu za kujikimu mpaka sasa ni hazijatolewa.
Tunaomba serikali yetu iliyo makini iliangalie swala hili, kwasababu ni haki yetu kupata.

Asante!
Mwambie Kasimu, akizingu felisheni watoto wa ndugu zake.
 
Yani umekula mishahara miezi sitini shida zako hazijaisha unafikilia hiyo laki tatu na nusu ukipata shida zako zitaisha mwalimu, fanya kazi usijipe stress zisizo na msingi kama mlishindwa kudai mda ule mnaanza ajira leo hii nani atawasikiliza kwanza wenzako wengine washasahau kwani tayali wanachukua mishahara wapo busy na mipango yao njaa imepungua vigumu maharishi mkadai maana hawana njaa
Inaonekana na Wewe unakula pesa za Watumishi, inaonesha wazi kabisa unaminya Haki za watu. Kama ni kiongozi au muajiriwa basi huna maadiri. Kwako wwe ni kidogo ila kwake ni kikubwa.
 
Nilijua mishahara, aiss yaani pesa za kujikimu sijui 300K ukiwa unaanza kazi miaka mitano nyuma bado unavailable leo huu serious.

Kuwa serious hata kama ni haki yako sio kwa style hii aise
 
Yaan iyo hela sw haki yako lkn ndo mpk uje uifungulie uzi laki 3 yaan walimu ndo mana mnaxaraulika aisee hela ishapita miaka mitano
 
Inaonekana na Wewe unakula pesa za Watumishi, inaonesha wazi kabisa unaminya Haki za watu. Kama ni kiongozi au muajiriwa basi huna maadiri. Kwako wwe ni kidogo ila kwake ni kikubwa.
Ukiona unadai kitu kwa muda mrefu na aukipati fanya hivi sema Mungu hii ni haki yangu hivyo basi naitoa sandaka na kwakua umenena aombaye atapewa basi nami nipe maana nimetoa sandaka amini nakwambia kama kuna mtu kaila pesa yako basi anakuwa amekula sadaka yako ambayo ni raina kubwa sana kula sadaka so Mungu atakulipa kwa njia nyingine

Sasa nyie wadogo zetu miaaka mitano bado unasoneneka tu mungu ajui akusaidie vipi pengine aliyeipiga kaenda toa sadaka kwa kukili Mungu hii pesa niliiba ila naoomba nikili kwa kutoa sadaka Mungu anaipokea hiyo sadaka nakuendelea mjaria uyo mwizi nakukusahau wewe ila na wewe ukiwa umesamehe na umetoa sadaka usikitiki basi mungu atakubless kwa njia nyingine so jifunze kusamehe
 
Walimu wa ajira ya 2019 May, katika halmashauri ya wilaya Ruangwa -lindi, hatujalipya pesa ya kujikimu tangu kuajiriwa kwetu.

Kilichotokea ni kwamba, tulivyoajiriwa na serkali mwezi mei 2019, serkali ilituma pesa za kujikimu ili tulipwe, lakini pesa hivyo, ikatokea sintofahamu na hazikulipwa.

Baada ya kufuatilia tukaambiwa ni kweli pesa zililetwa ila hazikuwa na kifungu, kwahiyo kwakuwa ilikuwa mwishoni mwa mwaka wa serkali (yaani mwezi wa sita mwishoni), kwahiyo serkali ilizirudisha pesa hizo hazina.

Tukaulizia halmashauri zingine zikiwemo na za mkoa lindi, ajira mpya wote wamepata. Tukawauliza mbona wengine wamelipwa sehemu zingine, wakasema ngoja tunaziomba tena hazina mtapewa.
Tukawaomba watuandikie barua hayo majibu, lakini mpaka leo barua hatujapewa.

Hatukuishia hapo, kulikuwa na usahihishaji wa mtihani wa mkoa Nachingwea, baada ya kumaliza kazi hiyo, Afisa elimu taaluma mkoa akatoa neno na kuuliza kama kuna mtu ana changamoto zozote. Mmoja wetu akasema hatujalipwa pesa ya kujikimu, akashangaa akasema mbona taarifa nilizonazo hakuna ambaye hajalipwa wote mkoa wa Lindi wamelipya. Akatoa agizo tulipwe lakini mpaka sasa hatujalipwa.

Inavyoonekana hizo pesa zilibadilishiwa matumizi, kwasababu baada ya kuwasumbua sana, wakasema tutawalipa kwa mapato ya ndani. Wanaongea hivyo ili tutulie kwasababu hawajawahi kuiweka hata kwenye bajeti, sasa unalipaje bajeti yake hauna.

Kiufupi wanatumia uwepo wa Waziri Mkuu, kama sehemu ya kuwakandamiza watumishi katika halmashauri hii, Mh. Waziri Mkuu anajitahidi sana kuboresha elimu huku kwake, anapambana apate walimu, lakini hawa viongozi wa halmashauri wanakwamisha mipango hiyo kwa maslahi yao binafsi, kiasi kwamba watumishi wengi wanatamani kuhama.

Mazingira sio rafiki kwa watumishi kubaki hapa. Kwahiyo pesa zetu za kujikimu mpaka sasa ni hazijatolewa.
Tunaomba serikali yetu iliyo makini iliangalie swala hili, kwasababu ni haki yetu kupata.

Asante!
Afadhali hata mko na ajira mnapata kwa kila mwezi sasa,wenzenu tuliomaliza nao skuli tunasota kitaa hatujui hatima yetu na vyeti vya ualimu
 
Back
Top Bottom