Je, Wajua, Naibu Spika, Chini ya "Bora Spika", Anaweza Kuwa "Spika Bora?". Dr. Tulia, "Ukitulia, Una Fursa ya Kuwa Spika Bora Sana!" Hongera Sana!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,506
113,628
Wanabodi,
Hii ni Nipashe ya Leo 23/01/2022

Hongera Spika Mpya, Dr. Tulia Akson, Sasa Utulie ili Uweze Kuwa Spika Bora!.png

Leo ni mwendelezo wa mada ya wiki iliyopita kuhusu Spika Bora na Bora Spika, Kujiuzulu kwa Ndugai ni Mpango wa Mungu kwa Tanzania ili Tupate Spika Bora. Je CCM Ituteulia Spika Bora, au Bora Spika Kama Kawa?. Isipo...Karma Ita..
ambapo niliwaomba CCM ituteulie Spika Bora, kwasababu mteule wa CCM akiisha teuliwa na chama cha Mapinduzi, CCM, huyo ndie Spika, japo kwa sasa jina lililopendekezwa na CCM ni jina moja la Naibu Spika, Dr. Tulia Akson, kikao cha Wabunge wa CCM ambacho ndicho kilipaswa kiwe ni kikao cha uchaguzi wa jina moja kati ya majina matatu, kufuatia Dr. Tulia kuwa ni mwepesi sana kulinganisha na yale majina matatu, hivyo CC ya CCM, imeamua kukamilisha kazi ya jina moja, hivyo kikao cha wabunge wa CCM sio kikao tena cha uchaguzi, ni kikao cha kukamilisha tuu taratibu, na hata uchaguzi wa Spika utakaofanywa na Bunge la JMT, japo utakuwa ni uchaguzi kwasababu kutakuwa na wagombea wengine kutoka vyama vingine, lakini ukweli ni uchaguzi tuu wa kumthibitisha Dr. Tulia ili ni kukamilisha tuu taratibu, swali linabaki ni jee chaguo hili la Dr. Tulia ndiye Spika Bora?, au CCM imetuteulia tena Bora Spika?.

Wiki iliyopita nilisema Spika aliyetangulia hakuwa Spika Bora, bali alikuwa ni Bora Spika, hivyo ikitegemewa Naibu wake Dr. Tulia Akson pia atakuwa ni Bora Spika kwa kufuatia ile kanuni ya uwajibikaji wa pamoja ( a collective responsibilities), kwa makosa yote ya Bunge la JYN na naibu Spika Tulia, hivyo kati ya watu 70 waliogombea uspika kupitia CCM, miongoni mwao kuna watu mule wangetupatia Spika Bora kuliko Dr. Tulia, ila kwa vile aliyepitishwa na CCM ni Dr. Tulia, hivyo sasa Dr. Tulia Akson ndie Spika wetu.

Hii maana yake, ile sauti niliyoisikia hapa, Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... ilikuwa ni sauti ya Mungu
Dr. Tulia Akson ndiye mpango wa Mungu kuwa Spika mpya wa Bunge la JMT.

Moja ya maeneo magumu sana ambayo sisi media yetu ya Tanzania haina, ni eneo la kitu kinachoitwa "analysis" yaani uchambuzi yakinifu. Mimi ni miongoni mwa waandishi wachache wa Tanzania, tunaofanya uchambuzi yakinifu, na mimi hufanya uchambuzi huu kupita humu jf, na kwenye makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zinazotoka kwenye gazeti la Nipashe, kila siku za Jumapili. Hivyo nilifanya uchambuzi yakinifu, ya majina hayo 70 waliojitokeza CCM, katika uchambuzi huo, jina la Dr. Tulia halikuingia hata kwenye 10 bora!, za mtu wa kuwa Spika Bora. Wajue the Top 10 wa CCM watakaotoa, the top 5, top 3 na the best Spika. Angalizo, si lazima the best ndiye awe Spika, bali the chosen one!, kwenye uzi huu, niliweka jina la mtu ambaye angekuwa the best kutupatia Spika Bora, ili pia nikaweka angalizo kuwa Spika wetu, atakayepitishwa, sii lazima awe the best, but the chosen one, hivyo aliyechagulia ni Dr. Tulia.

Mambo mawili kwake.
Kwanza kwa vile she was tainted na madhaifu ya Bunge lililopita, hivyo kuonekana Dr. Tulia kama ni another Bora Spika, let's give her the benefits of doubt, kwamba japo alikuwa Naibu Spika chini ya Bora Spika, akitegemewa na yeye atakuwa ni Bora Spika, kosa kubwa la mtangulizi wake ni kukurupuka, ni kukurupuka huko, kukafanya taarifa ya kamati teule ya Bunge, kukurupushiwa kukabidhiwa kwa rais, bila kujadiliwa na Bunge, hivyo Bunge kuonekana kana kwamba linajipendekeza kwa serikali, Sehemu ya Pili: Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali?.

Ni kukurupuka huku kulipelekea Bunge letu tukufu kupitisha azimio batili, Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG? tena Bunge lilipaswa kunishukuru sasa mimi, ndiye niliyewatonya azimio hilo lao ni batili, na kuwatonya nini kinakwenda kulikumba Bunge letu kama azimio hilo lingetekelezwa Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba, ndipo alizimio hilo batili, likafichwa chini ya uvungu kimya kimya as if halipo!, na ripoti ile ikapokelewa, hivyo kulinusuru Bunge!.

Ni kukurupuka huko ndiko kulimfanya JYN kutamka maneno yale kwenye ule mkutano wake na Wagogo, na baada ya video kusambaa, akakurupuka tena kuomba msamaha batili, Ndoa halali, ndoa batili na ndoa batilifu. Je, wajua pia kuna msamaha halali wa kweli, msamaha batili na msamaha batilifu? Msamaha ule ni batilifu! akina sisi, tukampa ushauri wa busara, achutame kwa kujiuzulu, Viongozi wetu wanapofanya makosa ya wazi waishie tu kuomba msamaha kisha 'life as usual', au tujenge utamaduni wa kuwajibika kama enzi za Nyerere? lakini mwenzetu akakomaa na hadi baada ya kusoma bandiko hili Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away? ndipo akakubali kunyoosha mikono juu kwa kukurupuka Msameheni bure Job Ndugai, amechanganyikiwa baada ya kuomba msamaha batilifu uliokataliwa! Barua yake ya Kujiuzulu nayo pia ni batilifu!

Kwa vile ukurupuka huo umefanyika huku Dr. Tulia, akiwepo, na Dr. Tulia nae kuonekana kama mkurupukuja kwa kutaka "to eat her cake and have it", kwa kuutaka Uspika, huku ameukumbatia Unaibu Spika na kuuatamia!. Lakini kama ilivyo kwa JPM na Samia, JPM was JPM na Samia ame prove She is Samia, hivyo lets give her a benefit of doubt kuwa Tulia akitulia, kama lilivyo jina lake, ana fursa na anaweza kabisa kuwa Spika Bora.

Pili tuahidi kumpatia kila aina ya Ushirikiano Spika Mpya Dr. Tulia Akson ili aweze kuwa Spika Bora.
Hongera sana, Spika wetu mpya, Dr. Tulia Akson Mwansasu
Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
 
kauli hii aliitoa huyo Tulia mbele ya Rais siku chache baada ya nafasi ya uspika kuwa wazi..

"""Rais wa Jamhuri wa muungano wa Tanzania, mheshimiwa Samia Suluhu Hassan sio tu kiongozi wa Serikali lakini ni mkuu wa nchi kwa hiyo yeye uongozi wake hauko sawasawa yeyote wa mhimili wowote ulioko hapa nchini""""

Tulia kacheza kete zake kwajili ya manufaa yake, hio kauli pasi nashaka ilikuwa ya kumsifu na kumuabudu rais wazi wazi kwamba hata uraisi upo juu ya mihimili yote hata bunge na mahakama.

Kwa ufupi anaenda kuwa spika asie na uhuru wala uaminifu wa kuendesha bunge kama mhimili unaojutegemea.

Ila na wewe ulieanzisha hii maada na wewe tunajua uliambulia kura moja tu ya wajumbe mwaka 2020, huenda nawe unaandika hizi mambo kwa manufaa yako 2025, hii nchi daaah 😂😂
 
Wanabodi,
Hii ni Nipashe ya Leo 23/01/2022

View attachment 2092447
Leo ni mwendelezo wa mada ya wiki iliyopita kuhusu Spika Bora na Bora Spika, Kujiuzulu kwa Ndugai ni Mpango wa Mungu kwa Tanzania ili Tupate Spika Bora. Je CCM Ituteulia Spika Bora, au Bora Spika Kama Kawa?. Isipo...Karma Ita..
ambapo niliwaomba CCM ituteulie Spika Bora, kwasababu mteule wa CCM akiisha teuliwa na chama cha Mapinduzi, CCM, huyo ndie Spika, japo kwa sasa jina lililopendekezwa na CCM ni jina moja la Naibu Spika, Dr. Tulia Akson, kikao cha Wabunge wa CCM ambacho ndicho kilipaswa kiwe ni kikao cha uchaguzi wa jina moja kati ya majina matatu, kufuatia Dr. Tulia kuwa ni mwepesi sana kulinganisha na yale majina matatu, hivyo CC ya CCM, imeamua kukamilisha kazi ya jina moja, hivyo kikao cha wabunge wa CCM sio kikao tena cha uchaguzi, ni kikao cha kukamilisha tuu taratibu, na hata uchaguzi wa Spika utakaofanywa na Bunge la JMT, japo utakuwa ni uchaguzi kwasababu kutakuwa na wagombea wengine kutoka vyama vingine, lakini ukweli ni uchaguzi tuu wa kumthibitisha Dr. Tulia ili ni kukamilisha tuu taratibu, swali linabaki ni jee chaguo hili la Dr. Tulia ndiye Spika Bora?, au CCM imetuteulia tena Bora Spika?.

Wiki iliyopita nilisema Spika aliyetangulia hakuwa Spika Bora, bali alikuwa ni Bora Spika, hivyo ikitegemewa Naibu wake Dr. Tulia Akson pia atakuwa ni Bora Spika kwa kufuatia ile kanuni ya uwajibikaji wa pamoja ( a collective responsibilities), kwa makosa yote ya Bunge la JYN na naibu Spika Tulia, hivyo kati ya watu 70 waliogombea uspika kupitia CCM, miongoni mwao kuna watu mule wangetupatia Spika Bora kuliko Dr. Tulia, ila kwa vile aliyepitishwa na CCM ni Dr. Tulia, hivyo sasa Dr. Tulia Akson ndie Spika wetu.

Hii maana yake, ile sauti niliyoisikia hapa, Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... ilikuwa ni sauti ya Mungu
Dr. Tulia Akson ndiye mpango wa Mungu kuwa Spika mpya wa Bunge la JMT.

Moja ya maeneo magumu sana ambayo sisi media yetu ya Tanzania haina, ni eneo la kitu kinachoitwa "analysis" yaani uchambuzi yakinifu. Mimi ni miongoni mwa waandishi wachache wa Tanzania, tunaofanya uchambuzi yakinifu, na mimi hufanya uchambuzi huu kupita humu jf, na kwenye makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zinazotoka kwenye gazeti la Nipashe, kila siku za Jumapili. Hivyo nilifanya uchambuzi yakinifu, ya majina hayo 70 waliojitokeza CCM, katika uchambuzi huo, jina la Dr. Tulia halikuingia hata kwenye 10 bora!, za mtu wa kuwa Spika Bora. Wajue the Top 10 wa CCM watakaotoa, the top 5, top 3 na the best Spika. Angalizo, si lazima the best ndiye awe Spika, bali the chosen one!, kwenye uzi huu, niliweka jina la mtu ambaye angekuwa the best kutupatia Spika Bora, ili pia nikaweka angalizo kuwa Spika wetu, atakayepitishwa, sii lazima awe the best, but the chosen one, hivyo aliyechagulia ni Dr. Tulia.

Mambo mawili kwake.
Kwanza kwa vile she was tainted na madhaifu ya Bunge lililopita, hivyo kuonekana Dr. Tulia kama ni another Bora Spika, let's give her the benefits of doubt, kwamba japo alikuwa Naibu Spika chini ya Bora Spika, akitegemewa na yeye atakuwa ni Bora Spika, kosa kubwa la mtangulizi wake ni kukurupuka, ni kukurupuka huko, kukafanya taarifa ya kamati teule ya Bunge, kukurupushiwa kukabidhiwa kwa rais, bila kujadiliwa na Bunge, hivyo Bunge kuonekana kana kwamba linajipendekeza kwa serikali, Sehemu ya Pili: Je, Bunge letu tukufu linajipendekeza kwa Serikali?.

Ni kukurupuka huku kulipelekea Bunge letu tukufu kupitisha azimio batili, Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG? tena Bunge lilipaswa kunishukuru sasa mimi, ndiye niliyewatonya azimio hilo lao ni batili, na kuwatonya nini kinakwenda kulikumba Bunge letu kama azimio hilo lingetekelezwa Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba, ndipo alizimio hilo batili, likafichwa chini ya uvungu kimya kimya as if halipo!, na ripoti ile ikapokelewa, hivyo kulinusuru Bunge!.

Ni kukurupuka huko ndiko kulimfanya JYN kutamka maneno yale kwenye ule mkutano wake na Wagogo, na baada ya video kusambaa, akakurupuka tena kuomba msamaha batili, Ndoa halali, ndoa batili na ndoa batilifu. Je, wajua pia kuna msamaha halali wa kweli, msamaha batili na msamaha batilifu? Msamaha ule ni batilifu! akina sisi, tukampa ushauri wa busara, achutame kwa kujiuzulu, Viongozi wetu wanapofanya makosa ya wazi waishie tu kuomba msamaha kisha 'life as usual', au tujenge utamaduni wa kuwajibika kama enzi za Nyerere? lakini mwenzetu akakomaa na hadi baada ya kusoma bandiko hili Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away? ndipo akakubali kunyoosha mikono juu kwa kukurupuka Msameheni bure Job Ndugai, amechanganyikiwa baada ya kuomba msamaha batilifu uliokataliwa! Barua yake ya Kujiuzulu nayo pia ni batilifu!

Kwa vile ukurupuka huo umefanyika huku Dr. Tulia, akiwepo, na Dr. Tulia nae kuonekana kama mkurupukuja kwa kutaka "to eat her cake and have it", kwa kuutaka Uspika, huku ameukumbatia Unaibu Spika na kuuatamia!. Lakini kama ilivyo kwa JPM na Samia, JPM was JPM na Samia ame prove She is Samia, hivyo lets give her a benefit of doubt kuwa Tulia akitulia, kama lilivyo jina lake, ana fursa na anaweza kabisa kuwa Spika Bora.

Pili tuahidi kumpatia kila aina ya Ushirikiano Spika Mpya Dr. Tulia Akson ili aweze kuwa Spika Bora.
Hongera sana, Spika wetu mpya, Dr. Tulia Akson Mwansasu
Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.

Thanks! Wewe Pascal Mayalla (na Polepole) ni hazina kubwa sasa katika nchi hii.
 
Tulia ana tofauti gani na Msukuma, Lusinde? Yani Tulia ni hovyo kwanza ana mambo ya kijiweni sana! Umewahi kuona watu kama kina mama Makinda wanaenda kuketi mbele ya vijeneza vya uchuro? Kiongozi anaonekana tu mkuu! Sasa emb mtazame Tulia kama utaona hata chembe moja ya uongozi ndani yake.
 
Mkuu P, hebu tuache kidogo!
Maisha ya Bora liende ukitegemea kuwa yatakuwa Bora huko mbeleni, ni kubet odds za 1 in a 1,000,000!
Yaani unatoa mimba, ukitegemea mimba siku zijazo, hakunaga guarantee! Wengi hukosa vyote!
Hakuna ubora wowote unaoweza kutokea kwenye hili!

Muda ni Mwalimu tuwe na Akiba ya maneno!
Huenda hii ikaja kuwa awamu iliyokuwa na maspika tofauti hata wanne!
 
kauli hii aliitoa huyo Tulia mbele ya Rais siku chache baada ya nafasi ya uspika kuwa wazi..

"""Rais wa Jamhuri wa muungano wa Tanzania, mheshimiwa Samia Suluhu Hassan sio tu kiongozi wa Serikali lakini ni mkuu wa nchi kwa hiyo yeye uongozi wake hauko sawasawa yeyote wa mhimili wowote ulioko hapa nchini""""

Tulia kacheza kete zake kwajili ya manufaa yake, kumsifu na kumuabudu rais yupo juu ya mihimili yote wazi wazi mbele yake inatia mashaka.

Kwa ufupi anaenda kuwa spika asie na uhuru wala uaminifu wa kuendesha bunge kama mhimili unaojutegemea.

Ila na wewe ulieanzisha hii maada tunajua uliambulia kura moja tu ya wajumbe mwaka 2020, huenda nawe unaandika hizi mambo kwa manufaa yako, hii nchi daaah 😂😂
Ndiyo maana akapitishwa, huyu bibi ni katili kuliko watu wanavyomuona
 
Mayalla aisee! Hivi kweli unapoteza muda wako kusubiri spika bora! Spika bora ni yule atakayelisaidia bunge kuisimamia serikali kwa maslahi ya nchi. Umesahauje kuwa spika mteule tayari ameupigia magoti na kuuabudu mhimili uliojichimbia chini!

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom