WanaJF,
Mimi namfahamu Prof. Rwekaza Mukandala kama ifuatavyo, na wewe unamfahamuje?
1. Ni Prof. wa ukweli wa Political Science.
2. Ni mwanzilishi wa REDET.
3. Ni mtu mzuri sana ktk utendaji wake asipoingiza mambo ya kisiasa ktk utendaji wake.
4. Anajua sana kujenga Network.
6. Ameweza kubadilisha jina la Mlimani Campus na sasa ni JK.Nyerere Mlimani Campus kwa kumbukumbu ya Baba wa Taifa
7. Ni mshauri wa karibu wa Mkuu wa nchi katika mambo ya siasa.
8. Ndiye aliyesaidia CCM yetu kuwa na Slogan ya ARI MPYA, NGUVU MPYA NA KASI MPYA (2005) na mwaka 2010 sasa ikawa (ARI ZAIDI, NGUVU ZAIDI NA KASI ZAIDI)
9. Ni mtu wa Usalama wa Taifa, kwani huwa tunakutana kwenye vikao vyetu vya siri.
10.
PIA NAMFAHAMU PROF. R.MUKANDARA kama;
1. Mtu aliyepata nafasi ya VC-UDSM kama zawadi toka kwa Mkuu wa nchi, kwani dondoo zinaonyesha hata tatu bora hakuingia kabla Mkuu wa nchi hajashinikiza mchakato wa kumpata VC uanze upya.
2. Ni mkabila sana, kwani hata REDET imejaa Wahaya tu mfano mzuri fuatilia wanaopelekwa kufanya tafiti mikoani utaona hilo.
3. Toka awe VC-UDSM, migomo imekuwa mingi kuliko vipindi vingine vya uongozi, na hii inasababishwa na yeye kutaka kutekeleza matakwa ya Serikali, kwani Mkuu wa nchi ni rafiki yake mkubwa sana; hivyo hafikirii njia nzuri ya kutafuta muafaka na wanafunzi na badala yake anaapply model ya Mkuu wa nchi kutumia dola-Polisi ktk kila kitu-nyote ni mashahidi yanayoendelea nchini kwasasa.
4. Namfahamu kama mtu aliyeushinikiza uongozi-Senate ya UDSM kumpa Mkuu wa nchi Ph.D ya Law pamoja na kwamba kuna taarifa kuna kundi kubwa sana ya Wakufunzi pale UDSM waligoma.
5. Ni mtu anayefuja rasilimali za nchi na chuo kwa ujumla, kwani nyumba ya VC-UDSM haikaliwi na mtu toka alivyoingia kwenye madaraka kwa kisingizio cha Usalama. Kwani waliomtangulia hawakuwa salama? Hii ni gharama kubwa sana ktk uendeshaji wa familia.
6. Yeye na makamu wake 2 kuna taarifa za uhakikaa kwamba hata familia zao wanaendeshwa na madereva wa chuo na magari ya chuo. Tatizo kubwa inakuwa pale dereva wa Chuo anapolazimika kusubiri familia zao wakiwa wameenda kwenye KLABU za Usiku na hata sherehe. Na mafuta yanayotumika yanatoka UDSM.
7. Anaposafiri kwenda kwao-Bukoba, kuna taarifa kwamba Dereva na gari ya UDSM anaendesha L.Cruiser mpaka Bukoba wkt yeye anapanda ndege, ili akifika huko, then anatembelea gari ya Chuo. Ujue hapo kuna Mafuta ya Dar-Bukoba na kurudi, pia kuna allowances za dereva, n.k. n.k.
8.
9.
10.
11.
Mzalendo ebu tufahamishe jinsi unavyomfamu Prof. R.Mukandala.
Mimi namfahamu Prof. Rwekaza Mukandala kama ifuatavyo, na wewe unamfahamuje?
1. Ni Prof. wa ukweli wa Political Science.
2. Ni mwanzilishi wa REDET.
3. Ni mtu mzuri sana ktk utendaji wake asipoingiza mambo ya kisiasa ktk utendaji wake.
4. Anajua sana kujenga Network.
6. Ameweza kubadilisha jina la Mlimani Campus na sasa ni JK.Nyerere Mlimani Campus kwa kumbukumbu ya Baba wa Taifa
7. Ni mshauri wa karibu wa Mkuu wa nchi katika mambo ya siasa.
8. Ndiye aliyesaidia CCM yetu kuwa na Slogan ya ARI MPYA, NGUVU MPYA NA KASI MPYA (2005) na mwaka 2010 sasa ikawa (ARI ZAIDI, NGUVU ZAIDI NA KASI ZAIDI)
9. Ni mtu wa Usalama wa Taifa, kwani huwa tunakutana kwenye vikao vyetu vya siri.
10.
PIA NAMFAHAMU PROF. R.MUKANDARA kama;
1. Mtu aliyepata nafasi ya VC-UDSM kama zawadi toka kwa Mkuu wa nchi, kwani dondoo zinaonyesha hata tatu bora hakuingia kabla Mkuu wa nchi hajashinikiza mchakato wa kumpata VC uanze upya.
2. Ni mkabila sana, kwani hata REDET imejaa Wahaya tu mfano mzuri fuatilia wanaopelekwa kufanya tafiti mikoani utaona hilo.
3. Toka awe VC-UDSM, migomo imekuwa mingi kuliko vipindi vingine vya uongozi, na hii inasababishwa na yeye kutaka kutekeleza matakwa ya Serikali, kwani Mkuu wa nchi ni rafiki yake mkubwa sana; hivyo hafikirii njia nzuri ya kutafuta muafaka na wanafunzi na badala yake anaapply model ya Mkuu wa nchi kutumia dola-Polisi ktk kila kitu-nyote ni mashahidi yanayoendelea nchini kwasasa.
4. Namfahamu kama mtu aliyeushinikiza uongozi-Senate ya UDSM kumpa Mkuu wa nchi Ph.D ya Law pamoja na kwamba kuna taarifa kuna kundi kubwa sana ya Wakufunzi pale UDSM waligoma.
5. Ni mtu anayefuja rasilimali za nchi na chuo kwa ujumla, kwani nyumba ya VC-UDSM haikaliwi na mtu toka alivyoingia kwenye madaraka kwa kisingizio cha Usalama. Kwani waliomtangulia hawakuwa salama? Hii ni gharama kubwa sana ktk uendeshaji wa familia.
6. Yeye na makamu wake 2 kuna taarifa za uhakikaa kwamba hata familia zao wanaendeshwa na madereva wa chuo na magari ya chuo. Tatizo kubwa inakuwa pale dereva wa Chuo anapolazimika kusubiri familia zao wakiwa wameenda kwenye KLABU za Usiku na hata sherehe. Na mafuta yanayotumika yanatoka UDSM.
7. Anaposafiri kwenda kwao-Bukoba, kuna taarifa kwamba Dereva na gari ya UDSM anaendesha L.Cruiser mpaka Bukoba wkt yeye anapanda ndege, ili akifika huko, then anatembelea gari ya Chuo. Ujue hapo kuna Mafuta ya Dar-Bukoba na kurudi, pia kuna allowances za dereva, n.k. n.k.
8.
9.
10.
11.
Mzalendo ebu tufahamishe jinsi unavyomfamu Prof. R.Mukandala.