The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,396
- 12,979
Asante Mzee, kwa kunielewesha. Tatizo lilikuwa pale wanaposema CCM imenunua shahada za wapiga kura. Sasa nimekupata. Kuhusu kujiandikisha itategemea kama nitakuwa huko wakati wa uchaguzi, ila kwa sasa kujiandikisha ni kupoteza muda tu unless waseme na sisi huku ughaibuni tunapewa haki ya kuchagua viongozi which is unthinkable kwa sasa kwa CCM.