Linchi lisiliokuwa na dira , limekufa. Tanzania ina priorities nyingi za msingi laikini kama watoto wadogo vile. Wanakimbilia mambo yasiyo ya msingi. Wanatufuta ulaji tuuuuu. Wanatangaza maredio yote na matv kuhusu vazi la Taifa as if we have nothing else to do. Halafu wasivyokuwa na akili hata kidogo wameshasema kitambaa cha rangi ya bendera ya TZ kitu ambacho kila mtu anajua. Sasa watanatufuta dizaini huku wanasema ni vazi. Ushenzi mtupu. Nawashauri wamtafute disigner proffessional na sio kutupigia mikelele isiyoisha wakati tuna njaa.
Zanzibar imeshirikishwa?
hawa watatumia muda mwingi kwenye 'upuuzi' huu na baada ya hapo watabuni wazo lingine la CAKULA CHA TAIFA!
Ndio maana katika wizara ambazo wadau wa siasa wanasema zisiwepo ni hii ya Michezo na Utamaduni, kingekuwa kitengo/idara tu kwenye wizara nyingine.
Kuonyesha hawa jamaa wasivyo serious, wangelijiuliza maswali haya kabla ya kuamia huu mchakato:
tatizo ni aliyeasisi system na kuwaaminisha watu kuwa 'Kamati Kuu' ndio think tank ya nchi
- 1. hivi ukienda Nigeria/Ghana ambao tunadai wana vazi la taifa kuna anayeweza kuleta ushahidi kuwa walikaa lini kubuni mavazi hayo!?
- 2. Au kuna ushahidi kuwa kiliwahi kuwepo kikao cha kufanya Mbege iwe kinywaji cha Wachaga!?
hi na wimbo wa taifa ulibuniwa na nani, kwa staili ipi!? ....ni kweli ulitumia mchakato huu?
Hahaha!, hili litakuwa vazi la waandishi wa habari.
Zanzibar imeshirikishwa?
Kuna kanga, vitenge, msuli, kaniki.
Uchaguzi ni wako!!