johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,023
- 142,073
Hakunaga haja ya kuhangaika na Mavazi wakati Umeme na Sukari ni shida
Badala ya Vazi litabuniwa Bango la Taifa
Tushughulikie electricity and Sugar kwanza 😂😂
Vazi tuendeleze Sare ya CCM iliyotupatia Uhuru kupitia TANU
Nawatakia Sabato Njema
Badala ya Vazi litabuniwa Bango la Taifa
Tushughulikie electricity and Sugar kwanza 😂😂
Vazi tuendeleze Sare ya CCM iliyotupatia Uhuru kupitia TANU
Nawatakia Sabato Njema