Ahaa ahaa Superman unakumbuka enzi unamtokea mtoto mzee unaiba lyrics za boyz 2 menDuh! Hii nayo kali. wachawi tena?
Nasubiri unipe mistari nisikie sumu zakoah ah ah uwiiiiiiiiiiiiiiiiiii my mbavu lol
Ahaa ahaa mkuu unajua hii imenikumbusha enzi hizo kweli maisha yanabadilika dah!Mkuu are u sure huna kipaji cha sanaa?
Mikwaruzo aha aha haya banaKazi zimenifanya nichelewe ktk thread hii ila nimeangalia mssg nyingi nimeziona kama zina kasoro vile au ndo tuseme mm siko kutokana na uandikaji wangu. Au ni uoga wa kuja kukosea njia. Mi mssg bila ya jina la mlengwa huona kama imekosa ladha.
Napenda mssg iwe kama ivi: "Afrodenzi ww ni wangu wa milele hata wachawi wanajua hilo"
Kazi zimenifanya nichelewe ktk thread hii ila nimeangalia mssg nyingi nimeziona kama zina kasoro vile au ndo tuseme mm siko kutokana na uandikaji wangu. Au ni uoga wa kuja kukosea njia. Mi mssg bila ya jina la mlengwa huona kama imekosa ladha.
Napenda mssg iwe kama ivi: "Afrodenzi ww ni wangu wa milele hata wachawi wanajua hilo"