Nasubiri unipe mistari nisikie sumu zako
Aha aha lol unajua niko radhi nizikwe hai kaburini kwa ajili yakonikinywa mji nakuona kwenye glass ingawa nyumbani kwangu nimejaza mabilauli tu ah ah ah
Aha aha lol unajua niko radhi nizikwe hai kaburini kwa ajili yako
Kudadadekii unataka kuniua weye siji ng'onjoo nimekuandalia kamba ya bigijiii na mti wa mchicha ujinyonge taratiiiiiiiiiiiiiiiiiiiibu
njoo nimekuandalia kamba ya bigijiii na mti wa mchicha ujinyonge taratiiiiiiiiiiiiiiiiiiiibu
Kudadadekii unataka kuniua weye siji ng'o
hapo hafi mtu, ni usanii tu. Umeona eeeeh . . .
Halafu umetaja mchicha umenikumbusha kule kwa Maria Roza nimewahi kusoma ukichanganya supu ya Mchicha na Tangawizi viagra haioni ndani . . .
Haloo Haloo bi shosti lolleo naona kaachiwa ndo mana anachaaat hivi we subiri tu AD akitokea uone atakavyokimbia lol
Aha aha Supermanhapo hafi mtu, ni usanii tu. Umeona eeeeh . . .
Halafu umetaja mchicha umenikumbusha kule kwa Maria Roza nimewahi kusoma ukichanganya supu ya Mchicha na Tangawizi viagra haioni ndani . . .
Ngoja niangalie ile simu yangu ya zamani ndo ilikua na sms za mapenzi,...
nikinywa mji nakuona kwenye glass ingawa nyumbani kwangu nimejaza mabilauli tu ah ah ah
leo naona kaachiwa ndo mana anachaaat hivi we subiri tu AD akitokea uone atakavyokimbia lol