MATY NA NYAMAYAO mnadhani labda naongea chumvi lakni kutoka ndani ya MOYO WANGU , UKWELI NDIYO HUO , akitumia hata sh 10 ni LAZIMA LAZIMA utamrudishia tena ATAKUDAI bila haya wala soni, UKIMPA maisha yanaendelea kama kawaida,,usippo mpa basi kila mkionana DENI LAKE NI ITAKUWA SALAAM,
mfano , vipi mpenzi hajambo ila unakumbuka kama nilikununulia pera na pesa haujarudisha???, please! my love naomba unirudishie pera isiwe mwango wa migogoro kati yenu,,NAKUPENDA SANA lakin plase honey naomba unirudishie pesa yangu,,mimi huduma zoote zinazohusiana na PESA ntakupa TUKIOANA lakin kipindi hiki, honey lipa pesa.
HIZI MATY NA NYAMAYAO KWA MANENO YOOOTE HAYO JE UTASHINDWA KURUDISHA PESA YAKE,,,naamini utarudisha tu ili kuepusha migogoro kati yenu.
SIONGEZI CHUMVI HII NDIYO HALI HALISI.
MI NI MALESHE......HAUJANIKWAZA ...... kwani AULIZAE ATAKA KUJUA.
huyu ningempata ningesubiri kwanza nimkope kiac fulani kikubwa cha pesa then ndio inakuwa goodbye yetu, kumrudishia cmrudishii na mapenzi yafe japo nifidie vile vi hela nilivyotumia hosp...lol...huyu mwanaume ni kituko cjapata kuona aisee.
Nyama yao hapo utakuwa unakosea kukopa na kutokomea na deni la mtu,,,kumbuka kuachana kimapenzi siyo kuachana kimaisha,,,,inapendeza sana mkiachana kwa usalama pasipo magomvi yatakayosababisha msisalimiane baadaye.
Lazima muachane kwa kuambiana sababu tena za msingi ambazo mmeshindwa kurekebisha , ili hata hapo mkionana mbaki kuwa marafiki wa kawaida tu,ikitokea hata shida msaidiane, au raha basi mwalikane kwa upendo tu. Kuachana kwa ugomvi hakupendezi duniani hata mbinguni.
Nyama yao hapo utakuwa unakosea kukopa na kutokomea na deni la mtu,,,kumbuka kuachana kimapenzi siyo kuachana kimaisha,,,,inapendeza sana mkiachana kwa usalama pasipo magomvi yatakayosababisha msisalimiane baadaye.
Lazima muachane kwa kuambiana sababu tena za msingi ambazo mmeshindwa kurekebisha , ili hata hapo mkionana mbaki kuwa marafiki wa kawaida tu,ikitokea hata shida msaidiane, au raha basi mwalikane kwa upendo tu. Kuachana kwa ugomvi hakupendezi duniani hata mbinguni.
H
ahahaha inategemea mwanzoni mlianzaje kama ulikuwa unamuhonga basi anajua ni haki yake kurudishwa kila kitu anacho tumia.
tena ningekuwa namhonga ndio ingekuwa mbaya zaidi coz huyu mtu hana utu pa1 na kumhonga kwangu bado anadai hela ya ki purple alichoninunulia nikiwa mgonjwa hosp?...hana ubinadamu hata cent.
huyu ningempata ningesubiri kwanza nimkope kiac fulani kikubwa cha pesa then ndio inakuwa goodbye yetu, kumrudishia cmrudishii na mapenzi yafe japo nifidie vile vi hela nilivyotumia hosp...lol...huyu mwanaume ni kituko cjapata kuona aisee.
Nyama yao hapo utakuwa unakosea kukopa na kutokomea na deni la mtu,,,kumbuka kuachana kimapenzi siyo kuachana kimaisha,,,,inapendeza sana mkiachana kwa usalama pasipo magomvi yatakayosababisha msisalimiane baadaye.
Lazima muachane kwa kuambiana sababu tena za msingi ambazo mmeshindwa kurekebisha , ili hata hapo mkionana mbaki kuwa marafiki wa kawaida tu,ikitokea hata shida msaidiane, au raha basi mwalikane kwa upendo tu. Kuachana kwa ugomvi hakupendezi duniani hata mbinguni.
Wapenda pesa utawajua tu, bora mtu ukajitwalie kimwana toka kanda ya ziwa anachapa kazi shambani haumwi ovyoovyo na mzigo anakupa na pesa yako haitolei jicho yeye ni shughuli tu mwe