nnunu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2011
- 654
- 230
- Thread starter
- #221
Caroline danzi ,asante kwa mchango wako,,pia samahani kwa kukubore kwa maelezo kama ulivyosema hapo juu,nisamehe kwa hili ila nimeeleza mengi ili niweze kutoa maelezo ya kukutosha kuweza kutoa maoni yako.
Huyu dada si kuwa anapenda sana kujirusha,,ila ana kawaida ya kutoka out labda dinner,lunch,kwenye function hivi ,mbuga za wanyama, au sehemu yoyote tofauti na mazingira ya home au kazini japo mara moja kwa mwezi au miezi,au mwaka ili angalau apumzishe akili.....hivi kufanya hivi kweli ni kutumia pesa hovyooo???. Pia hapa sijakuelewa,,hivi je mwanamke kumhudumia mwanaume wake ni kujionesha kuwa una pesa?? Au kuonesha kuwa unajali???
Na hili la ubahili hajalificha kwa boyfriend wake amemwambia na mwanaume anakiri kuwa hawezi kumpa pesa au kumhudumia kwa namna yoyote inayohusiana na pesa mpaka atakapomuoa...mwanamke anasita ksb anaogopa hata wakiwa ndoani anaweza kuendelea na tabia yake hii hii. Tabia zingine za jamaa mwanamke anazipenda saaana tatizo ni huu uchoyo na ubahili.
Narudia tena asante kwa mchango wako caroline danzi, naheshimu mawazo yako, asante sana.
Huyu dada si kuwa anapenda sana kujirusha,,ila ana kawaida ya kutoka out labda dinner,lunch,kwenye function hivi ,mbuga za wanyama, au sehemu yoyote tofauti na mazingira ya home au kazini japo mara moja kwa mwezi au miezi,au mwaka ili angalau apumzishe akili.....hivi kufanya hivi kweli ni kutumia pesa hovyooo???. Pia hapa sijakuelewa,,hivi je mwanamke kumhudumia mwanaume wake ni kujionesha kuwa una pesa?? Au kuonesha kuwa unajali???
Na hili la ubahili hajalificha kwa boyfriend wake amemwambia na mwanaume anakiri kuwa hawezi kumpa pesa au kumhudumia kwa namna yoyote inayohusiana na pesa mpaka atakapomuoa...mwanamke anasita ksb anaogopa hata wakiwa ndoani anaweza kuendelea na tabia yake hii hii. Tabia zingine za jamaa mwanamke anazipenda saaana tatizo ni huu uchoyo na ubahili.
Narudia tena asante kwa mchango wako caroline danzi, naheshimu mawazo yako, asante sana.