Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
bado simpata Rose, si unajua wakina Bhoke wamekuwa adimu?.
ahh kaza moyo utampata tu
bado simpata Rose, si unajua wakina Bhoke wamekuwa adimu?.
ahh kaza moyo utampata tu
Asante kwa kunipa moyo.
badirisha poz ilo basi...minaona km unanchungulia vle..kwenye kona flan ivi unanidekshia...
Mwaka ndio unaisha hivyo jamani.
Mwaka ndio unaisha hivyo jamani.
Mwaka ndio unaisha hivyo jamani.
mi sichagui kakangu ila nisichotaka ni MWANAUME MWENYE MBWEMBWE ,MAJIGAMBO,ANAYEJIBUST ...APANA
napenda mwanaume wa kawaida ..asiye na makuu ,wakawaida tu,anayevaaa simpo siyo manguo ya gharama sana apana ni kawaida tu cz i do believe mwanaume anayevaa masut daily pasipo sababu maalumu,anayevaa machen ,maviatu ya laki 5 namchululia km ana matatizo..napenda usafi na si mambo ya show off...
mwanaume kwangu ninamthamin kwa up stairs yake awe km;
..controler wangu
..director wangu
..advicer wangu
YAAN AWE KIMBILIO LANGU KWA CHOCHOTE NITAKACHOSHINDWA/UWEZO WANGU WA UBONGO UTAKAPOISHIA BAS ANIPE TAFU...n nt material thng..
sipend wanasesere au wanaojifanya km wametoka na kat ya kinshasa....m simple by nature so napendsa mwanaume simpo km mimi ..mimi sipak sjirembi ata poda sigusi iweje sasa men wangu awe abanduki dresssng trebo na mapoda kumi kumi ,wanja ,lip stk....ohhh no for that case nakuruhusu uniite nachagua sana bt MANJONJO BOY noooo apa hawana nafasi