Je mwanamke uko tayari?

huna hata kandugu ka sekondari ukampa jamaa shavu? lol

mmmhh nilimwambia
tanze mambo hapa kwanza mpaka wageni
waondoke ndo tuingie chumbani
yeye naoana kama vile anaogopa..

mmmhh sasa weye huoni mambo yalivyokuwa magumu hapo
hahah lol
 
LOL hiyo sio mchezo, nikiona kimya sana itabidi nirudi mwanzo kupunguza vigezo kama vya umri, dini wenye watoto na walioachika yaani mpaka kieleweke mwaka huu huu 2011...........LOL

Katika vigezo ongeza aliyeachika na hasa ambao wameshazaa, wanafaa sana hao wakimpata mume wanatulia kwani wameshajifunza makosa ya ndoa.
 
mmmhh nilimwambia
tanze mambo hapa kwanza mpaka wageni
waondoke ndo tuingie chumbani
yeye naoana kama vile anaogopa..

mmmhh sasa weye huoni mambo yalivyokuwa magumu hapo
hahah lol
hehehe yaani imekuwa ngumu kweli, hata ka rose ujicho pia kamemtolea nje. dah! kama itashindikana jamaa itabidi awe mtakatifu tu aachane kabisa na mambo ya ndoa.
 
hehehe yaani imekuwa ngumu kweli, hata ka rose ujicho pia kamemtolea nje. dah! kama itashindikana jamaa itabidi awe mtakatifu tu aachane kabisa na mambo ya ndoa.

hahahahah lol
sasa mie nilidhani tunamsaidia
duuuhh mbona weye wa mkatisha tamaa sasa ??lol

lakini hopeful hawa wanampa moyo kidogo hahhah lol
 
hahahahah lol
sasa mie nilidhani tunamsaidia
duuuhh mbona weye wa mkatisha tamaa sasa ??lol

lakini hopeful hawa wanampa moyo kidogo hahhah lol

hebu nichekiii ninavyong'araa, hebu nicheki ninavyong'araaa, oyee nicheki.

unalikumbuka hili singo lilivyotesa kwenye chati za bongo fleva?
 
hebu nichekiii ninavyong'araa, hebu nicheki ninavyong'araaa, oyee nicheki.

unalikumbuka hili singo lilivyotesa kwenye chati za bongo fleva?

hahahhahaahhahha lol
kwa kweli umenichekesha..
kumbe we mchokozi sana ae..
halafu ukaweka na picha yake lol
aaa mbavu zangu lol
 
hehehe hamna bana, tunampigia debe mgombea wetu, kesho b4 sanraiz kiwe kimeeleweka.

hahahah lol
kwa hii kampan yako
mmhh kwakeli yuko matatani
hahaha lol

badala ya kumsaidia weye ndo unamtoa nduki hahah lol

mie naona hata mpaka sunrise na sunset ya kesho kutwa hakuna mtu kwa mtindo huu lol
 
hahahah lol
kwa hii kampan yako
mmhh kwakeli yuko matatani
hahaha lol

badala ya kumsaidia weye ndo unamtoa nduki hahah lol

mie naona hata mpaka sunrise na sunset ya kesho kutwa hakuna mtu kwa mtindo huu lol
heheeh wewe usiwe na waswas , mimi washkaji wote ambao nimewakalia ulawyer wa kutafta mchumba basi wameondoka na vitu made in brazil. hii ni kes ndogo sana, nitahakikisha jaluo nyeupe anaondoka na half kasti la kitusi within no time. wewe anza kuandaa sredi la michango ya harusi kabisa.
 
Je kama amejiajiri binafsi??yupo anatengeneza mihuri na kuigisa sahihi za vibosile unamhitaji??hatayako anaweza kuiigiza naye ni mjaruo!kama unaona kuna maslahi sema hapa tukutumie uliko!
 
maneno mengi lakini engagement ring la jaluo nyeupe mnalikimbia! mhulumieni bana! kaweka sredi wiki ya pili sasa bado bila bila. dah!

mmh! Hatuvutiwi hata nyuma ya pazia.
Hebu ngoja nimsaidie jaluo kushawishi.
 
heheeh wewe usiwe na waswas , mimi washkaji wote ambao nimewakalia ulawyer wa kutafta mchumba basi wameondoka na vitu made in brazil. hii ni kes ndogo sana, nitahakikisha jaluo nyeupe anaondoka na half kasti la kitusi within no time. wewe anza kuandaa sredi la michango ya harusi kabisa.

hahahahah lol
sawa mkuuu ..
lakini mie na wasi wasi nawe sana ..
mmmhhh haya bwana we lala salama lol
 
mi sichagui kakangu ila nisichotaka ni MWANAUME MWENYE MBWEMBWE ,MAJIGAMBO,ANAYEJIBUST ...APANA

napenda mwanaume wa kawaida ..asiye na makuu ,wakawaida tu,anayevaaa simpo siyo manguo ya gharama sana apana ni kawaida tu cz i do believe mwanaume anayevaa masut daily pasipo sababu maalumu,anayevaa machen ,maviatu ya laki 5 namchululia km ana matatizo..napenda usafi na si mambo ya show off...
mwanaume kwangu ninamthamin kwa up stairs yake awe km;
..controler wangu
..director wangu
..advicer wangu

YAAN AWE KIMBILIO LANGU KWA CHOCHOTE NITAKACHOSHINDWA/UWEZO WANGU WA UBONGO UTAKAPOISHIA BAS ANIPE TAFU...n nt material thng..
sipend wanasesere au wanaojifanya km wametoka na kat ya kinshasa....m simple by nature so napendsa mwanaume simpo km mimi ..mimi sipak sjirembi ata poda sigusi iweje sasa men wangu awe abanduki dresssng trebo na mapoda kumi kumi ,wanja ,lip stk....ohhh no for that case nakuruhusu uniite nachagua sana bt MANJONJO BOY noooo apa hawana nafasi

Kama umesha mkubali vile,so unajieleza uone kama atakubaliana na vigezo vyako at
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom