Natafuta mke hata mwenye mtoto

Chambi Chambi

New Member
Jul 31, 2023
1
4
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30
1. Ni msomi ngazi ya Bachelor Degree
2. Kazi yangu ni usafirishaji wa mizigo.
2.Dini ni mkristu.

SIFA ZA MWANAMKE NINAYE TAFUTA
1. Awe tayari kuolewa.
2. Hata akiwa na mtoto ni sawa.
3. Awe dini yeyote.
4. Awe hajawahi kwenda jela au asiwe na jinai.

Aliye tayari anitafute
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom