Chambi Chambi
New Member
- Jul 31, 2023
- 1
- 4
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30
1. Ni msomi ngazi ya Bachelor Degree
2. Kazi yangu ni usafirishaji wa mizigo.
2.Dini ni mkristu.
SIFA ZA MWANAMKE NINAYE TAFUTA
1. Awe tayari kuolewa.
2. Hata akiwa na mtoto ni sawa.
3. Awe dini yeyote.
4. Awe hajawahi kwenda jela au asiwe na jinai.
Aliye tayari anitafute
1. Ni msomi ngazi ya Bachelor Degree
2. Kazi yangu ni usafirishaji wa mizigo.
2.Dini ni mkristu.
SIFA ZA MWANAMKE NINAYE TAFUTA
1. Awe tayari kuolewa.
2. Hata akiwa na mtoto ni sawa.
3. Awe dini yeyote.
4. Awe hajawahi kwenda jela au asiwe na jinai.
Aliye tayari anitafute