S Sexless JF-Expert Member Mar 11, 2017 21,563 50,410 Feb 10, 2024 #1 Inajulikana kwamba Edward samefarika akiwa kada wa CCM, lakini 2015 alikuwa Mgombea Urais kupitia CHADEMA. Je, CHADEMA watampa heshima stahiki kwa kuahirisha maandamano?
Inajulikana kwamba Edward samefarika akiwa kada wa CCM, lakini 2015 alikuwa Mgombea Urais kupitia CHADEMA. Je, CHADEMA watampa heshima stahiki kwa kuahirisha maandamano?
JokaKuu Platinum Member Jul 31, 2006 30,441 55,018 Feb 10, 2024 #2 ..Je, mikutano ya Ccm itasimama kwasababu ya kifo cha Lowassa?