Je, CHADEMA wataahirisha maandamano kufuatia kifo cha Edward Lowassa?

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,563
50,410
Inajulikana kwamba Edward samefarika akiwa kada wa CCM, lakini 2015 alikuwa Mgombea Urais kupitia CHADEMA.

Je, CHADEMA watampa heshima stahiki kwa kuahirisha maandamano?
 
Back
Top Bottom