DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Tukubaline kitu gani mkuu? Ujue JF sehemu ya porojo ukija njoo na facts na data za kutosha eti Chadema hakuwa na mgombea Uzini uchaguzi uliopita.
Hakuna udini hapo hivi Chadema kupata kura 281 Uzini, ni mafanikio makubwa kwa Chadema?
ni mafanikio makubwa sana,si unajua znz ni ngome ya serikali ya umoja wa kitaifa,inakuaje mmoja wa wanandoa atoke nje? Yaonekana imani ya ndoa iyo ni finyu.hongera cdm