Malaria Sugu,faizy fox,ritz ni vilaza wasiokuwa na mbele wala nyuma.
FaizaFoxy=Ribosome
Malaria Sugu,faizy fox,ritz ni vilaza wasiokuwa na mbele wala nyuma.
One more point of correction. Rejea point hizo hapo juu, umeishajionyesha wewe ni mdini
sasa ukikutana na mtu mdini anaweza kukupinga kwa takwimu na UKA-AIBIKA
Waislamu zanzibar ni asilimia 95% (wikipedia)
wakristo na wengine ni asilimi 5%
Kura za chadema walizopata ni asilimia 4% JE MDINI HAWEZI KUSEMA WALIOIPIGIA KURA CHADEMA WOTE NI WAKRISTO??
AU UMETUMIA CRITERIA GANI KUJUA WAPIGA KURA WALIOIPIGIA KURA CHADEMA WOTE NI WAISLAMU??
Yaani Ritz sijui unataka kutuambia nini kwani kwa data zako inamaana hata uchaguzi uliopita walikudhihirishia hakuna udini unaotangaza kila siku. Issue haipo kama unavyofikiriaChukuwa hii mwaka 2010 katika jimbo la Uzini Chadema walishika nafasi ya pili kwa kupata 7.6%.
Mwaka 2012 Chadema walishika tena nafasi ya pili Uzini kwa kupata 4%.
Sasa kama una akili tafakari chukua hatua.
Mkuu, wewe niite utakavyopenda wala mie sioni tatizo tumeishawazoea nyie viongozi wa Chadema kwa kauli zenu..
Umekurupuka kuweka mabandiko yangu hata hujui tulikuwa tujadili nini, mie nilikuwa namfahamisha mtu kuhusu Uzini Chadema hawakuweka mgombea kwenye uwakilishi.
Lakini waliweka mgombea kwenye ubunge ndio aliopata hizo asilimia nilizoweka, tatizo la lako ukiona jina la Ritz. presha inakupanda.
Chadema hivi nyie mpinzani wenu na CUF au CCM? naona mmeamua kujiliwaza kwa kuishambulia CUF.
Kwenye uchaguzi wa Uzini Chadema ndio wamepoteza zaidi kuliko CUF kwanza mnatakiwa mkumbuke Chadema walishika nafasi ya pili katika jimbo ilo uchaguzi uliopita sijui kama unalijua ilo.
Kura za Chadema zinazidi kupungua tofauti na uchaguzi uliopita.