JamiiForums ni kiboko, imenipa kazi mwenzenu

Mkuu kweli wewe ni mzee wa budget,...ila siku ukioa kumbuka kubadilika maake_mmmmmmh

Hahahahaa....wala sioni cha kubadilisha hapo, mbona cjibani?! Hebu angalia hapo kwenu kama kila wiki mnakula maini (joke)!!!! nikuambie mkuu, na-enjoy sana na hii lyf style. Nakumbuka ki2 kilichokuwa kinaniumiza sana sana ni vocha....unajua haya mambo ya simu nayo ni upuuzi mtupu, na mbaya zaidi nilikuwa nashindwa kujizuia....c unajua sie wengine toka familia maskini kila cku wa2 ni kutu-beep na wewe ndio upige. Nikajikuta kwa mwezi natumia hela nyingi sana. Mwanzo wa mwezi matumizi ya simu ndo yalikuwa makubwa sana coz' bado unakuwa na visenti...nikatafutia dawa. Nikajiunga na post paid ya tgo ya Sh. 20,000/=!! Unajua nini? hii ki2 imekuwa very helpful kwangu kuliko ambavyo nilitarajia. Airtime ninayowekewa (ya 20,000/-)huwa inaishia siku za mwisho mwisho wa mwezi ambapo huwa sina tena hela ya kuchezea hovyohovyo!!!
 

Ahaaaaa, mkuu! hilo tu?! kama kuna jambo gumu ktk kazi zangu binafsi basi hilo la kuamka saa 11 alfajiri na kupika c moja wapo!!! mbona cmpo tu wangu! kwanza, b4 cjaenda kulala, nahakikisha nimesafisha sufuria la kupikia pamoja na kuosha mchele ( na kuchuja maji yote). Nikiamka tu saa 11, ki2 cha kwanza ni kuchemsha maji kwa jagi la umeme, dak 1 yanakuwa tayari kisha nayatumia maji haya niliyochemsha kubandikia msosi wangu! Nikishaweka tu sufuria jikoni, nakimbia mara moja bafuni kwa ajili ya kuoga na ninaporudi huko nakuta tayari msosi ushakaukia! Nikisharudi toka bafuni, ki2 cha kwanza ni kupunguza moto na kugeuza ubeche na kufunika.....ninapomaliza kujipangusa maji, msosi nao unakuwa tayari.....no one minute is lost unutilised! jaribu hiyo ki2, utakuja gundua maisha iz very ize, ni kujipanga tu!

Hapo kwenye red, vipi kama hakuna umeme? Ila nimeipenda ile ya kula asubuhi kabla ya kwenda kazini. Nimeifanya sana hiyo. It saves you a lot of money na muda pia. Muda nikiwa na maana kuwa wakati wafanyakazi wengine wanaenda lunch, unaweza kuutumia huo muda kufanya mambo ya maana sana.

For me, nilikuwa nakula asubuhi kabla ya kwenda kazini, then muda wa lunch niliutumia kutafuta scholarships kwenye net na kwenda posta kutuma barua za maombi ambapo nilifanikiwa kupata scholarship ya kwenda kusoma nje ya nchi. Wengine walishangaa nimepataje hiyo scholarship mapema hivyo, wakahisi nilikuwa namjua mkubwa fulani hapo ofisini. But scholarship ilitoka huko huko majuu and no mkubwa was involved.

My strategy ilikuwa sio kuongeza kipato immediately bali kuongeza shule yangu ambayo ingenisaidia kuongeza kipato in future. Mtu mwingine anaweza kuwa na plan tofauti. Kama prospective entrepreneur anaweza kuutumia huo muda ku-design business plans, making contacts, etc. Au unaweza kuutumia huo muda kutafuta kazi ambayo inalipa zaidi. Ni muda mfupi, but you can do a lot kama ukijipanga vizuri. Ukirudi home jioni unajikuta uko free b'se mambo mengi ulishaya settle wakati wa lunch kazini.

Mleta hoja ameuliza kama 400,000 zinakidhi kwa maisha ya Dar. Lakini amesahau kuwa maisha yanatofautiana from one person to another. Sh. 400,000 inaweza kuwa nyingi sana kwa mtu mmoja na isitoshe kabisa kwa mtu mwingine. Maisha ya Dar are not the same kwa kila mtu. Kwa mfano, kuna watu watatu wanaishi maeneo ya Ufundi Kurasini na wanafanya kazi maeneo ya stesheni. Mmoja atapanda daladala kwenda na kurudi kazini, mwingine ataenda na kurudi kazini kwa miguu na mwingine atapanda daladala kwenda kazini lakini ataarudi kwa miguu.

So, maisha ya Dar ni jinsi unavyoyapangilia. Ukikubali tuu Dar ikupangie maisha lazima itakula kwako hasa kama kipato chako ni kidogo au cha wastani. Mkuu nafikiri wengi watafaidika na somo ulilotoa kwenye posts zako hapo juu. Kudos.
 
Hongera kwa kupata kazi, hiyo rate unayoisema inatosha sana labda kama unaishi kwa hisia na kuiga wenzako wenye sources tofauti (ikiwemo na rushwa)

Binafsi, ninapata 350,000/= na katika hali ya kawaida inatosha maisha kiaina, chumba ninalipa 50,000/= (gharama zote za umeme, maji na usafi vimehusishwa) kwa kiwango hicho nina imani kabisa unaweza kujitegemea

LABDA mbagala usiiwaingize mkenge wenzio wakaja kuvuliwa chupi sema unaishi wapi unalipa ngapi kama yuko anaitaji chumba mbagala ani pm sh 15 kwa mwezi analipa miezi sita tu maji 3000 umeemee 3000 si kalvari ya dunia njoo sinza uone kama ujaungana na wenzio pale afrikasana so kuonyesha sehemu inasaidia zaidi mpwa
 

Hahahahaa....wala sioni cha kubadilisha hapo, mbona cjibani?! Hebu angalia hapo kwenu kama kila wiki mnakula maini (joke)!!!! nikuambie mkuu, na-enjoy sana na hii lyf style. Nakumbuka ki2 kilichokuwa kinaniumiza sana sana ni vocha....unajua haya mambo ya simu nayo ni upuuzi mtupu, na mbaya zaidi nilikuwa nashindwa kujizuia....c unajua sie wengine toka familia maskini kila cku wa2 ni kutu-beep na wewe ndio upige. Nikajikuta kwa mwezi natumia hela nyingi sana. Mwanzo wa mwezi matumizi ya simu ndo yalikuwa makubwa sana coz' bado unakuwa na visenti...nikatafutia dawa. Nikajiunga na post paid ya tgo ya Sh. 20,000/=!! Unajua nini? hii ki2 imekuwa very helpful kwangu kuliko ambavyo nilitarajia. Airtime ninayowekewa (ya 20,000/-)huwa inaishia siku za mwisho mwisho wa mwezi ambapo huwa sina tena hela ya kuchezea hovyohovyo!!!

mkuu ni pm nikupe vocha kila mwezi free usiogope mpwa nitumie namba yako
 
Mkuu, ni kupangilia tu, ingawaje huo mshahara sio mkubwa, lakini huwezi ku-suffer on ur way on getting perfect job for u. Binafsi, natumia about TZS 150,000/= kwa mwezi na napiga menu ya maana kabisa kuliko anayetumia 300,000/= kwa mwezi.

Here is how I do (Huwa nafanya yafuatayo mara nipatapo salary yangu):

- Nanunua mchele 15 kg@ 1,500/- = TZS 22,500/-
- Nampa mshikaji wa bucha sh. 28,000/ kwa mwezi ~hapo ni nyama 0.5kg (stake) na 0.5kg(maini). Hizo ni kwa wiki, ambapo natumia 7,000/- kwa wiki na 28,000/- kwa mwezi. Nilichofanya baada ya kuhamia hapa kitaa, nikajenga mazoea na mshikaji wa bucha hadi akawa rafiki yangu na hivyo, ninapomwachia 28,000/- nina uhakika wa kwenda kuchukua nyama kila wiki bila longolongo!
- Watu wa mwambao bila nazi, msosi hauendi...na siku kuna nazi(ya tui) za bakhresa, nina shida gani!!!! Natumia pakti mbili kwa wiki @600, therefore nanunua za mwezi mzima kwa sh. 4,800/-
- Huwa nanunua mafuta ya kula tena yale yale ambayo maskini kama mimi wanayaogopa....ya alizeti kwa sh.18,000/ (lita 3) ambayo nayatumia si chini ya miezi 4 (means kwa mwezi na-spend sh 4,500/-)
- Nanunua in advance sukari 2kg @2000= TZS 4,000/- .
- Nanunua Soya 3 packets @2,000~~~~ TZS 6,000/- kwa mwezi (huwa situmii kabisa majani ya chai)
- Maharage 2kg@ 1,800/= (3,600/- kwa mwezi).... nyama peke yake huwa haipandi kwahiyo lazima nipate maharage kidogo.
- Tambi kwa ajili ya weekend 8pc @ 1000= 8,000/-
- Mafuta ya taa 6lts @ 2000 = 12,000
- Njegele 1,200/- kila weekend...napenda sana hii ki2 na tambi!= 4,800/- kwa mwezi

22,500 + 28,000+4800+4500+4000+6000+3600+8000+12,000+4,800= 98,200/=

Hapo unakuta natumia kama laki tu, lakini napata vitu vyote muhimu for my favorite meal !! Addition point ni kwamba, ninapoenda job, huwa sinywi chai asubuhi, BALI HUWA NAKULA MSOSI!!!

Nimeeleweka?

Sinywi chai; NAPIGA MSOSI! Always, ingawaje sikai mbali na town, huwa naamka saa 11 alfajiri na kuanza kupika WALIIIIIIIII......! Nikishapiga menu yangu ya adabu asubuhi, wala sihangaiki lunch time; by the way, nikishatulia kwenye kiti changu huwa sipendi usumbufu!

Eti unakuta mtoto wa kiume anasema "eti siwezi kula asubuhi.....!" mtu ukiwa na hayo mawazo then be prepared kuolewa mambo yatakapobana! Nasikitika sana kwamba hamna daladala ambazo naweza kulipa in advance, otherwise, I'd do it....sipendi stress kwenye maisha, hususani kwa vitu vya kipuuzi kama basic needs!

Try it, utakuja gundua maisha is very easy sema hatuyajulii tu!!!

Du..ukitembelewa na mshkaji wakati wa ushatandika meza lazima utanuna... tight budget.......girl friend akija wiki endi aje na pakti ya tambi...
 
Thats a start point. Wenzako tunatafuta kazi nzuri wakati tupo kazini na sio kutafuta wakati huna kazi. Kumbuka pia work history ni muhimu sana...

Kula mzigo broda, acha za kuleta

Habari wakuu!,mi ni graduate-2011 na nimekuwa nikifuatilia matangazo ya kazi hapa JF na kutuma application zangu, nimeitwa kwenye interview 5 na sasa nimeitwa kufanya kazi kwenye kampuni 3 tofauti, zote nimepewa mikataba nimeisoma lkn sijaisaini bado, tatizo ni malipo. Yani ina-arange 380,000 mpaka 400,000. Je, kwa maisha ya Dar zinaweza kukidhi? Mi sina uzoefu na jiji hili nimekuja tu kutafuta kazi na nipo kwa ndugu maana yake nikipata kikazi hicho nitalazimika kuanza maisha yangu.
 
Hapo kwenye red, vipi kama hakuna umeme? Ila nimeipenda ile ya kula asubuhi kabla ya kwenda kazini. Nimeifanya sana hiyo. It saves you a lot of money na muda pia. Muda nikiwa na maana kuwa wakati wafanyakazi wengine wanaenda lunch, unaweza kuutumia huo muda kufanya mambo ya maana sana.

For me, nilikuwa nakula asubuhi kabla ya kwenda kazini, then muda wa lunch niliutumia kutafuta scholarships kwenye net na kwenda posta kutuma barua za maombi ambapo nilifanikiwa kupata scholarship ya kwenda kusoma nje ya nchi. Wengine walishangaa nimepataje hiyo scholarship mapema hivyo, wakahisi nilikuwa namjua mkubwa fulani hapo ofisini. But scholarship ilitoka huko huko majuu and no mkubwa was involved.

My strategy ilikuwa sio kuongeza kipato immediately bali kuongeza shule yangu ambayo ingenisaidia kuongeza kipato in future. Mtu mwingine anaweza kuwa na plan tofauti. Kama prospective entrepreneur anaweza kuutumia huo muda ku-design business plans, making contacts, etc. Au unaweza kuutumia huo muda kutafuta kazi ambayo inalipa zaidi. Ni muda mfupi, but you can do a lot kama ukijipanga vizuri. Ukirudi home jioni unajikuta uko free b'se mambo mengi ulishaya settle wakati wa lunch kazini.

Mleta hoja ameuliza kama 400,000 zinakidhi kwa maisha ya Dar. Lakini amesahau kuwa maisha yanatofautiana from one person to another. Sh. 400,000 inaweza kuwa nyingi sana kwa mtu mmoja na isitoshe kabisa kwa mtu mwingine. Maisha ya Dar are not the same kwa kila mtu. Kwa mfano, kuna watu watatu wanaishi maeneo ya Ufundi Kurasini na wanafanya kazi maeneo ya stesheni. Mmoja atapanda daladala kwenda na kurudi kazini, mwingine ataenda na kurudi kazini kwa miguu na mwingine atapanda daladala kwenda kazini lakini ataarudi kwa miguu.

So, maisha ya Dar ni jinsi unavyoyapangilia. Ukikubali tuu Dar ikupangie maisha lazima itakula kwako hasa kama kipato chako ni kidogo au cha wastani. Mkuu nafikiri wengi watafaidika na somo ulilotoa kwenye posts zako hapo juu. Kudos.

Kwenye color hapo man, nilizani ulitaka kusema ni ngumu sana hiyo ki2!!! Ningeamrisha Green Guards waje kukuvua gwanda sasa hivi na kukupeleka pale Ofisi ndogo mtaa wa Lumumba ili ukapatiwe T-shirt na Cap za kijani na njano! lol
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Du..ukitembelewa na mshkaji wakati wa ushatandika meza lazima utanuna... tight budget.......girl friend akija wiki endi aje na pakti ya tambi...

Mgeni kwangu ruksa, asije na chochote mkononi, lakini vilevile ahakikishe anakuja kuanzia saa tisa na aondoke kabla ya saa moja!!!!
 
Chukua kazi hiyo
Mi nlianza na mshahara ambao net ilikuwa 170,000 nkatafuta chumba kwa mwezi nlikuwa nalipa 10,000.
Kazi moja huanzisha nyingine.
 
Kwenye color hapo man, nilizani ulitaka kusema ni ngumu sana hiyo ki2!!! Ningeamrisha Green Guards waje kukuvua gwanda sasa hivi na kukupeleka pale Ofisi ndogo mtaa wa Lumumba ili ukapatiwe T-shirt na Cap za kijani na njano! lol

Haha haa haaa. Mkuu vipi idea ya ku-pack lunch toka home na kwenda nayo kazini? Nimenote kwa wezetu wa nchi zilizoendelea wakienda kazini huwa wana-pack lunch zao toka nyumbani. Ofisi nyingi wametenga chumba kama dinning room, kuna fridge hapo, microwave na jagi la kuchemshia maji. Hivyo, ikifika walati wa lunch watu wanachukua lunch zao walizotokanazo home, wanapasha moto kidogo na kula hapo hapo ofisini wakati wakisoma kilichodhiri kwenye magazeti (sie tunasoma magazeti wakati wa kazi). Ni wachache sana wanaongozana kwenda hotelini kula. Watakaotoka nje sana sana wataenda kununua snacks and that is once in a while.

Lakini kwetu unakuta fridge or jagi la kuchemshia maji vyote viko kwa sekretari wa boss mkuu na ni kwa ajili ya boss na wageni wake special tuu. Kwetu hatutaki shida. Pia tunaona noma ku-pack lunch na kuja nayo kazini. Kwa vile boss huwa anatoka kwenda kula lunch, basi na secretari nae atataka kufanya hivyo. Hii ni moja ya sababu ya sababu ya kuenea kwa rushwa ndogo ndogo maofisini. Unaingia ofisi ya umma, ghafla unadaiwa pesa ya lunch. Wengine muda wa lunch wanautumia kukutana na nyumba ndogo au vigaloni. Unaonaje pia tutengeneze tabia ya kubeba viporo vyetu kazini for a lunch? Si tunaweza pia ku-save a lot of money? Halafu jinsi kiporo kilivyo kitamu.
 
Haha haa haaa. Mkuu vipi idea ya ku-pack lunch toka home na kwenda nayo kazini? Nimenote kwa wezetu wa nchi zilizoendelea wakienda kazini huwa wana-pack lunch zao toka nyumbani. Ofisi nyingi wametenga chumba kama dinning room, kuna fridge hapo, microwave na jagi la kuchemshia maji. Hivyo, ikifika walati wa lunch watu wanachukua lunch zao walizotokanazo home, wanapasha moto kidogo na kula hapo hapo ofisini wakati wakisoma kilichodhiri kwenye magazeti (sie tunasoma magazeti wakati wa kazi). Ni wachache sana wanaongozana kwenda hotelini kula. Watakaotoka nje sana sana wataenda kununua snacks and that is once in a while.

Lakini kwetu unakuta fridge or jagi la kuchemshia maji vyote viko kwa sekretari wa boss mkuu na ni kwa ajili ya boss na wageni wake special tuu. Kwetu hatutaki shida. Pia tunaona noma ku-pack lunch na kuja nayo kazini. Kwa vile boss huwa anatoka kwenda kula lunch, basi na secretari nae atataka kufanya hivyo. Hii ni moja ya sababu ya sababu ya kuenea kwa rushwa ndogo ndogo maofisini. Unaingia ofisi ya umma, ghafla unadaiwa pesa ya lunch. Wengine muda wa lunch wanautumia kukutana na nyumba ndogo au vigaloni. Unaonaje pia tutengeneze tabia ya kubeba viporo vyetu kazini for a lunch? Si tunaweza pia ku-save a lot of money? Halafu jinsi kiporo kilivyo kitamu.

tena kikiwa kiporo cha wali maharage,utakipenda mbona!
 
Haha haa haaa. Mkuu vipi idea ya ku-pack lunch toka home na kwenda nayo kazini? Nimenote kwa wezetu wa nchi zilizoendelea wakienda kazini huwa wana-pack lunch zao toka nyumbani. Ofisi nyingi wametenga chumba kama dinning room, kuna fridge hapo, microwave na jagi la kuchemshia maji. Hivyo, ikifika walati wa lunch watu wanachukua lunch zao walizotokanazo home, wanapasha moto kidogo na kula hapo hapo ofisini wakati wakisoma kilichodhiri kwenye magazeti (sie tunasoma magazeti wakati wa kazi). Ni wachache sana wanaongozana kwenda hotelini kula. Watakaotoka nje sana sana wataenda kununua snacks and that is once in a while.

Lakini kwetu unakuta fridge or jagi la kuchemshia maji vyote viko kwa sekretari wa boss mkuu na ni kwa ajili ya boss na wageni wake special tuu. Kwetu hatutaki shida. Pia tunaona noma ku-pack lunch na kuja nayo kazini. Kwa vile boss huwa anatoka kwenda kula lunch, basi na secretari nae atataka kufanya hivyo. Hii ni moja ya sababu ya sababu ya kuenea kwa rushwa ndogo ndogo maofisini. Unaingia ofisi ya umma, ghafla unadaiwa pesa ya lunch. Wengine muda wa lunch wanautumia kukutana na nyumba ndogo au vigaloni. Unaonaje pia tutengeneze tabia ya kubeba viporo vyetu kazini for a lunch? Si tunaweza pia ku-save a lot of money? Halafu jinsi kiporo kilivyo kitamu.

Dah! Umenikumbusha mkuu....hii ki2 nililuwa naifikiria sana 2!! Nilishawahi kuifanya wakati fulani wakati wa mfungo wa ramadhani!!! Wakati huo, nilikuwa naenda job saa 12 jioni. What i was doing, nilikuwa natoka gheto na lunch box yangu kwa ajili ya daku!! Ona wale waliokuwa wanaona noma kutembea na lunch box, walikuwa wanahangaika ile mbaya na matokeo yake mara nyingi ikawa inaishia kwenye ku-share the same msosi!! Afadhali umenikumbusha, wacha nikanunue empty lunch box za kutosha kwa ajili ya kutimba nazo kwa job!!

Halafu umeongea hilo la virushwa vidogo vidogo...mkuu, yaani ni aibu!! Nakumbuka wakati fulani nikiwa kwenye benki moja hapa town nalikuwa nasikitika sana kuona wamama watu wazima wanavyowanyenyekea baadhi ya wateja...hii sio kwamba ilikuwa ni customer care, la hasha...hiyo ilikuwa ni kwa ajili ya wateja waliokuwa na tabia ya kutoa kitu kidogo wanapohudumiwa (in short, huwa siwapendi wateja wa aina hii)!! Unakuta mama mtu mzima mwenye watoto na wajukuu, anaacha alichokuwa anafanya (wakati mwingine anamuacha mteja mchovu) na kumkimbilia mteja ambae anajua anapomuhudumia anamuachia sh.10,000/-!!! Nilikuwa najisikia aibu sana...Hili naliongea kwa uchungu !!! kuiendekeza njaa, ni ki2 mbaya sana....!!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Chukulia kama ni sehemu ya kupatia uzoefu maana siyo rahisi kupata kazi nzuri bila ya kuwa na uzoefu.
 
Kwa kweli mmemshauri vizuri. Yaani nimesoma post moja moja. Zoote ni nzuri, na wamekupa namna ya kuishi/kufanya.
Wamekupa mpaka ushauri ambao utakusaidia kwa miaka 5 au 6 ijayo.
Mwenye macho, na aone.
 
Back
Top Bottom