shizukan
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 1,158
- 563
Duh! 400,000 ukikatwa kodi, kisha NSSF wakachukua chao unabakiwa na nini?
Walimu na wauguzi wanaishije? Acheni kujifanya sio watanzania, huu ni ubwege. Ni kweli huo mshahara si mkubwa lkn si kweli kwamba hauwezi kuishi. Sasa hivi hana hata senti anaishije? Umbea wa kiume hauna hata mashiko. Kwa bajeti hiyo mimi enzi zangu mbona ningemiliki hata nyumba ndogo 2. Tupunguze mashauz, huyu anayeuliza hana mtoto wala mjukuu, ni yeye, sehemu zake za siri na tumbo, atashindwa vipi kuishi kama sio kutaka kuleta ujuaji hapa?
WEWE BWANA MDOGO, KAANZE KAZI WA NOTI NDEFU UTAKUKUTA HUKO HUKO UKIWA KAZINI. NDIO WAKATI WAKO WA KUJIFUNZA MAISHA NA BAJETI