NYENJENKURU
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 1,063
- 288
Sikiliza mkuu,
380,000/= na 400,000/= hakuna tofauti yoyote. Maana yangu ni kwamba, kama range ya mshahara ndio hiyo basi hapo usiangalie kigezo cha mshahara, bali angali ni kazi gani ambayo itakuuza vizuri hapo baadae. You get wht I mean?
Assume kampuni A ni benki ambayo wamekupa nafasi ya Teller na salary offer ya sh. 400,000/= na company B, nayo ni reputable company na wameku-offer post ya Marketing Officer kwa mshahara wa sh. 370,000/= ! Kwa ushauri wangu, accept offer ya marketing officer kwa 370,000/= coz' marketing officer inauzika kuliko teller.
Kama salary inatosha au haitoshi, ni kwamba huo mshahara ni mdogo lakini usiache coz' hapa town sio kwenu na umekuja kutafuta. Tatizo lenu watu kama nyinyi (yaani mliokuja Dar karibuni) mna ujinga wa kuangalia washikaji zenu wanakaa wapi badala ya kuangalia una salary kiasi gani. Utakuta mtu kamaliza UDSM, washikaji zake wanaishi Mwenge/Sinza/Ubungo (nyumbani kwao) nanyi mnataka kupanga maeneo hayo. Utaumia broda!
Mahali kama Kwa Azizi Ally, unapata chumba kwa sh.30, 000/- tena kizuri tu kwa mtafuta maisha. Mahali penyewe karibu na town, una uhakika wa kutumia 600/- tu kwa nauli; sehemu za kula bata hadi uzisumbukie..... unadhani basic ya 380,000/= haiwezi kukusogeza wakati unatafuta better post?! it can broda!
Akili za mbayumbayu, changanya na za kwako!!!
Sure watu tumeanza na sh 75,000/= graduate baada ya miaka 15 tunakula mamilioni.Kwanza tafuta uzoefu wa kuja kukupa kazi nzuri zaidi..Usijali ukiwa na kazi unapata kazi//////