Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,863
- 95,832
Mkuu Eiyer hebu pitia hapa uone ulicho quote ni nini?
jaribu kufatilia hoja ilipotokea mpaka kufikia hapo(kuhusu miungu)maana nilikuwa naongea na Crocodiletooth, naomba kwanza ufatilie post tulizoanza mpaka kufikia hapo... sio unakua kama kitenzi kikurupushi.
alafu jaribu kuyaweka maneno yako katika sentensi moja ambayo inaleta maana.
Nimecheka sanaaa
Kitenzi kikurupushi.... Lol
Last edited by a moderator: