Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,863
- 95,832
Mbona sivioni sasa kwenye hii thread au inaendelea?
Maswali pia mtoa mada anajibu kifupi kama yupo chooni.
Thread ndefu majb mafupi.
Uskasirike
Inaendelea vizuri tu. We uliza ujibiwe sio maswala ya kumpangia mtu kuwa majibu yawe marefu wakati hata maswali yaliyopo ni mafupi