Bongoclever
Senior Member
- Jul 30, 2012
- 105
- 11
nimehack modem ya tigo,zantel na airtel ila jaman ttcl wameniweza kama kuna cracker yeyote anipe mauwezo.
ok! Hebu nipe contact zake bac cuz nipo field na natafuta mauwezo ya kuhack hyo mordem ya TTCL.
Me nakomaa pande za UCC DAR ES SALAAM. Na ww unapgia wap?
kwel mwana,but me kuna frnd wangu ambae yupo pande za Philadelphia USA ndo alinipa mau2ndu ya ku'huck hzo v2,now nimepoteza mawasliano naye...
Nimeshawakata nyie!!.
wth'out 4gtin',gimme r cntact plz,n' just infm me whr r u lvn'?
Je kati yenu kuna mtu anaweza kuflash modem za zantel za cdma ili zitumie sim card yeyote? Yangu haina sim card halafu haikamati mtandao kabisa. Kama ujanja huo upo niwatafute basi