Dsm Installers Tech
Member
- Aug 15, 2018
- 18
- 16
Leo nilienda kujaza fomu pale TTCL-Tegeta kwa ajili ya huduma ya fiber nyumbani
Kwanza picha linaanza naambiwa utaratibu ni kujaza fomu kwanza halafu baadae mtu wa survey atakuja kungalia ndio taratibu zingine zinafuata, lakini makadirio itachukua kama mwezi mmoja hivi.
Nimejaza ile fomu lakini bahati mbaya sikumkuta fundi yeyote zaidi ya customer care.
Mliowahi kufunga kuna njia zipi ili nikamilishe swala langu chap chap?
Msaada wakuu..
Kwanza picha linaanza naambiwa utaratibu ni kujaza fomu kwanza halafu baadae mtu wa survey atakuja kungalia ndio taratibu zingine zinafuata, lakini makadirio itachukua kama mwezi mmoja hivi.
Nimejaza ile fomu lakini bahati mbaya sikumkuta fundi yeyote zaidi ya customer care.
Mliowahi kufunga kuna njia zipi ili nikamilishe swala langu chap chap?
Msaada wakuu..