Jamani Nisaidieni Mbinu za Kutenganisha Wanandoa!!!

Tatizo lipo kwenye kutafuta mwingine wa Kuoa ndo issue!!
Nahisi hata kumtorosha kutoka kwa MUMEWE!!

I dont think is a good idea,,, what u have to do is go on with someone else na utasahau tuu nini kilipita,,,kwani wenzio wako kwenye ndoa tayari kama kweli wampenda basi muache muokoe na mitihani kama hiyo,,,na we tafuta wako kwani hata wazazi wake hawkutaki,,,
 
Mambo vipi familia kubwa ya JF!!

Kwanza naomba samahani kwa hii maada lakini nipo serious kupita maelezo!!
Nilikuwa na demu wangu 2lipendana sana lakini wazazi wake walimpenda zaidi coz waligoma nisimwoe mwanae akawa kaolewa na jamaa mwenye pesa!

Sasa hivi wapo kwenye ndoa wiki 2 lakini naendelea kula TUNDA kama kawa na tunachat nae muda wote hata kuwasiliana full tym!Binti ananipenda na yupo tayari kwa lolote!!

Kabla hajaolewa nilimvisha PETE ya uchumba then jamaa kamalizia PETE ya NDOA!!
Ni kama movie lakini ni kweli sasa hivi 2na mpango wa kumfanya jamaa atoe TARAKA!!

Jamani naomba mnisaidie mbinu za kufanya jamaa atoe talaka coz 2na mipango mingi sana na huyu Binti lazima nimwoe hata kama ni Bomani!! Nifanye nini??!!


Mkuu mke wa mtu sumu!! angalia sana kaka tusije kukuona kwenye mitandao umeinamishwa na madume menzako yanakupumulia kisogoni
tena kama umesema jamaa ana hela ogopa kama ukoma... atakufanyizia huyo anakulia tyming tu.. itunze tigo yako mkuu ni ushauri tu kaka no disrespect intended nimeshuhudia mtu akifanyiwa unyama kaka hadi leo hajarecover kawa kama chizi
 
Tatizo sio UTAMU mkuu na ujue sio wote watamu unaweza KUOA!!!!

Tulia mpwa, utamu upo popote sio kwa huyo tu, huyo ni shetani anaekufanya uone kua huwezi toka ukafanya maamuzi yako binafsi! be the Man, nitafurahi kama utaahidi kubadilika kabla ya mwaka mpya kuanza
 
THANKS kwa ushauri mzuri!!
Pls jaribuni kunipa na MBINU kuhusu hilo la jamaa nitalisolve mwenyewe!!!
Pls twende na both Issue USHAURI na MBINU coz nshajitoa MUHANGA!!!

Mkuu mke wa mtu sumu!! angalia sana kaka tusije kukuona kwenye mitandao umeinamishwa na madume menzako yanakupumulia kisogoni
tena kama umesema jamaa ana hela ogopa kama ukoma... atakufanyizia huyo anakulia tyming tu.. itunze tigo yako mkuu ni ushauri tu kaka no disrespect intended nimeshuhudia mtu akifanyiwa unyama kaka hadi leo hajarecover kawa kama chizi
 
wamchokoza bwana mapesa umechoka kuishi weye. Kama aliweza kuweka pete ya ndoa juu ya pete yako ya uchumba cpati picha atakachokufanya nadhan aweza kukunyofoa hiyo ZUBRI halafu urudi hapa ku2uuliza utapata wapi ya kichina u replace
 
Mi naona ukifumaniwa nae itakuwa vema zaidi. We waonaje? Mumewe na ndg wakiwafumania ndoa kwisha talaka hapo hapo! Waalikeni wote kianina, mumewe, wazazi wake na rafiki zake wakifika wanawafumania. Jibu ndo hilo hakuna njia ya mkato hapo. :banplease:
 
Mambo vipi familia kubwa ya JF!!

Kwanza naomba samahani kwa hii maada lakini nipo serious kupita maelezo!!
Nilikuwa na demu wangu 2lipendana sana lakini wazazi wake walimpenda zaidi coz waligoma nisimwoe mwanae akawa kaolewa na jamaa mwenye pesa!

Sasa hivi wapo kwenye ndoa wiki 2 lakini naendelea kula TUNDA kama kawa na tunachat nae muda wote hata kuwasiliana full tym!Binti ananipenda na yupo tayari kwa lolote!!

Kabla hajaolewa nilimvisha PETE ya uchumba then jamaa kamalizia PETE ya NDOA!!
Ni kama movie lakini ni kweli sasa hivi 2na mpango wa kumfanya jamaa atoe TARAKA!!

Jamani naomba mnisaidie mbinu za kufanya jamaa atoe talaka coz 2na mipango mingi sana na huyu Binti lazima nimwoe hata kama ni Bomani!! Nifanye nini??!!

Duh! Sijui mi nikoje. Nikishajua jamaa kagonga sehemu, siwezi oa hiyo mwanamke asee. Ndo maana staki kujua waliomgonga wife kabla sijaoa. Nsije toa talaka bure.
 
wamchokoza bwana mapesa umechoka kuishi weye. Kama aliweza kuweka pete ya ndoa juu ya pete yako ya uchumba cpati picha atakachokufanya nadhan aweza kukunyofoa hiyo ZUBRI halafu urudi hapa ku2uuliza utapata wapi ya kichina u replace
Hujambo mama?
 
Thanks dada angalau nimeanza kupata MBINU coz watu wanataka kunishauri 2 wakati nshapenda mie!!
Nimeisha NOTE hiyo!! Pls nyingine??
A ready 4 Anything wana JF kwa huyu Binti!!

Mi naona ukifumaniwa nae itakuwa vema zaidi. We waonaje? Mumewe na ndg wakiwafumania ndoa kwisha talaka hapo hapo! Waalikeni wote kianina, mumewe, wazazi wake na rafiki zake wakifika wanawafumania. Jibu ndo hilo hakuna njia ya mkato hapo. :banplease:
 
Usihofu kuhusu hilo Mama Pls nipe MBINU!!

wamchokoza bwana mapesa umechoka kuishi weye. Kama aliweza kuweka pete ya ndoa juu ya pete yako ya uchumba cpati picha atakachokufanya nadhan aweza kukunyofoa hiyo ZUBRI halafu urudi hapa ku2uuliza utapata wapi ya kichina u replace
 
Sawa wapo wengi but not lyk her coz nimeshajaribu lakini nimeshindwa!!
Naona THERE IZ NO ONE LYK HER!! Pls nipe mbinu
kuna kitu unakitafuta kutoka kwa mme wa huyo dada na atakupa tu wewe endelea kumlia mkewe kuna msemo husema muosha huoshwa sasa wewe umeshaosha kinachofuata ni wewe kuoshwa tena kwa bila mate
 
sijui njia za kutenganisha ndoa .....but fight for what you think will make you happy in life.
 
utenda motoni then,,,yaani baada ya kuwatenganisha njoo hapa tena kuomba au kutafuta formula ya kuingia nayo motoni...
 
Vitu vingine haviliki mkuu kwani lazima huyo huyo? Mbona wapo kibao mkuu au domo zege?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom