nsha ununua kabsaa....kesho tukutane makuti pale nikupatie zawdi yako!
Vitu vingine haviliki mkuu kwani lazima huyo huyo? Mbona wapo kibao mkuu au domo zege?
Karibu.. hebu ni PM ya number pls for logistic!mwe nitafurahije?
mambo vipi familia kubwa ya jf!!
kwanza naomba samahani kwa hii maada lakini nipo serious kupita maelezo!!
nilikuwa na demu wangu 2lipendana sana lakini wazazi wake walimpenda zaidi coz waligoma nisimwoe mwanae akawa kaolewa na jamaa mwenye pesa!
sasa hivi wapo kwenye ndoa wiki 2 lakini naendelea kula tunda kama kawa na tunachat nae muda wote hata kuwasiliana full tym!binti ananipenda na yupo tayari kwa lolote!!
kabla hajaolewa nilimvisha pete ya uchumba then jamaa kamalizia pete ya ndoa!!
ni kama movie lakini ni kweli sasa hivi 2na mpango wa kumfanya jamaa atoe taraka!!
jamani naomba mnisaidie mbinu za kufanya jamaa atoe talaka coz 2na mipango mingi sana na huyu binti lazima nimwoe hata kama ni bomani!! Nifanye nini??!!
ewaa, sasa hapo tupo pamoja...mwambia kabisa tutakuwa wote.....
Karibu.. hebu ni PM ya number pls for logistic!
nitakua pale toka saa 3 asbh, mkinidanganya nyie
Yaani ndoa ivunjike na wewe upate mke! Achana na vitu hivyo wapo wengi tu warembo hata hapa JF kama umeshindwa kabisa kupata mwingine omba hapa wajitokeze halafu uchague, unahangaika na mipira ya mbali wakati ipo ya karibu.
Cant put it any betterwewe!!!!
unaota?
ulikuwa wap kuzuia b4 awajaenda kansan?
km anakupenda kweli ANGEKUWA NA MSIMAMO WA KUMKATAA UYO BWANA MAPESA ILI ABAK NA WEWE..?
UYO DEMU ANAPENDA MITALA NA SI KM ANAKUPENDA WEWE....kwa kipnd iki issue za kulazimishana km enz zileeeee azipo tena ...ukionyesha msimamo mara mbl tatu bas wazazi wanakuacha uendelee na umpendae....
endelea kumega mpk pale MTAKAPOFUMANIWA NDO UTAJUA CHA KUFANYA.
Karibu.. hebu ni PM ya number pls for logistic!
mpe mimba halafu tangaza ana bao lako baada ya miezi nane hivi, ukiwahi tangaza itachomolewa faster
wako ibilisi
Naomba muelewe kuwa nilimvika pete ya uchumba wiki 1 kabla ya NDOA!!
Ili jamaa akiona aahirishe coz walikuwa kwenye process ya NDOA yao!!
nitakua pale toka saa 3 asbh, mkinidanganya nyie
Maty ukipata mimba usinitafute.
Karibu.. hebu ni PM ya number pls for logistic!
Sory Muheshimiwa si unakua tena mambo ya mwisho wa mwaka!!Duh!!Mmeshindwa kuchangia maada??!!
Duh hii number imetafutwa kupitia kila thread humu JF.....kuna kitu hapa..wikileaks please du ze nidful
Its for a long jump!! :bump:Duh hii number imetafutwa kupitia kila thread humu JF.....kuna kitu hapa..wikileaks please du ze nidful