Jamani Mume wangu Ananiogopa...

jibu maswali yafuatayo kwanza
1.mnalingana umri?nani mkubwa?
2.mnalingana miili?nani mkubwa?
3.wewe ni polisi/mwanajeshi?
4.mnatumia muda wenu kuzungumza au ni kudinyana tu?
5.una bezi?
6.unatumia njia gani ili kuwa attractive kwake kila mkionana?


....jibu unayohisi ni muhimu...yatasaidia uweze kupata maoni zaidi...

Maswali mazuri mno ningetamani ayajibu hayo then tujue pa kuanzia. ila umesahau namba 7.

7. Je Ulishawahi kumtegeshea 0713...? Wanaume wengine ndo mambo yao hayo.
 
Kwanza mpe nafasi ya kukumiliki wakita wa tendo lenyewe,
Usimuonyeshe kama ujaridhika wakati mpo faraga,
Jidai amekuridhisha hata kama sio ili kumjengea kujiamini zaidi
jilainishe kwa miguno na malalamiko ya kufurahia gemu ili kuchochea apate hisia,
na uwe sharp wakati unabadili stlye usiwe mzito hii inafanya jamaa kisinyaa,
Na kabla amjaanza umuandaae kwa kuonyeshe unafurahia kile mnachoenda kukifanya, kwa tabasamu, mabusu, kuongea mambo ya kufurahiana.

Hii itamjengea kujiamini na ataperfome vizuri tu. kazi kwako
Khaa! Ba'mdgo kwa ushauri mzuri, asante na nitaufanyia kazi.
 
Last edited by a moderator:
Habari wana jf,
Jamani mwenzenu nimepata mtu mzima mwenzangu wa kuliwazana cha jabu huyu kaka tunapokuwa tuko faragha namuona hajiamini hata kidogo, licha ya kumwachia mwili wangu wote lakini, bado ananiogopa. Najitahidi kumapa malavidavi yote bado hajiamini,
pili tatizo nililomgundua uwezo wa kuplay game for 20minutes hawezi, yaani nikibadilisha mkao tuu kosa inadidi uibust, je wapenzi ni tatizo gani? maumbile au kwa vile ananiogopa? ushauri wenu tafadhali

Jibu maswali ya snochet lakini pia jaribu kumpa kale kamchezo ka 0713...
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: awp
Yaani mimi ni mbunifu wa kila kitu, nilijaribu akaishia kucheka tuuu, thus why nasema ananiogopa na hajiamini.
 
Yaani mimi ni mbunifu wa kila kitu, nilijaribu akaishia kucheka tuuu, thus why nasema ananiogopa na hajiamini.

mwanamke kujikubali babu weeeh, mie nahisi anajifeel inferior kwakuwa anaishi kwako.vp anakazi na kuchangia paying the bills au kilakitu waprovide weye?na kwann aje kuishi kwako?
 
Sasa unamwanikia hiyo k' wala kwanin asitishike,maana k nyingine zinatisha unaweza panda ukahisi unamezwa na mamba lol
 
  • Thanks
Reactions: awp
Mapenzi hayana haya...ikiwa mwenzenu shughuli inamshinda kuna makosa gani dada kutafuta solution...
Siku za mwanzo lazima uwe na haya, we ukitaka kututoa hamu sie Wanaume we jiachieeeeeeeee on the first date, yan tutakukinai fastaa, ila ukileta zile haya za kike zile, utaona SHUGHULI utakayopewa, Mark my words
 
  • Thanks
Reactions: awp
Astaghfirullah!!! mwambie aache kukenua kenua huku anaangalia nanihii lol!

Kaka jogoolakigoma nilijaribu kumsukumia huko akabaki kucheka tuu, kila ninapojaribu kumwuliza unataka nikufanyie nini hajibu anacheka tuu. nitajaribu tena leo, nipo serious!
 
  • Thanks
Reactions: awp
Smile jamani! Hivi mfanye romance, mje muanze game hadi aje akufukishe mlima kilimanjaro, bado ni dk 20 tu? hapo si utatoka kapa best, Smile inaonekana wewe muziki wa kikubwa huuwezi
Mi kazi yangu leo ni kukusoma tu baaasi!!
 
  • Thanks
Reactions: awp
Ok, so muda wa romance hauhesabiki! Anyway bado nadauti kama dk 20 utakuwa umefika kibo, wanaume wenyewe siku hizi wanakula chips tu, dk 3, 5 kamaliza

i mean romance ipo ila mii game nahesabu pale kuchop chop
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom