MadameX
JF-Expert Member
- Dec 27, 2009
- 7,792
- 3,848
Wee msambaaa acha kushangashanga.oh tate nane!
Wee msambaaa acha kushangashanga.oh tate nane!
Nakutafuta kotekote..... mpaka kwenye PM:becky:Rafiki una mambo! unanitafuta thread zote?
Mzima lakini?
oh tate nane!
Kazi yake ni ya kawaida coz kipato chake ni mara tatu ya kwangu, kipato sio issue kwangu kwani kila kitu namuweka wazi, ila kwa bahati mbaya huwa sina akaunti mshiko wangu natunza ktk akati y amy first born ila kadi natunza mimi, na hii nimeifanya in case nikirudi kwa muumba sihitaji ma'daughtesr wapate shida.mwanamke kujikubali babu weeeh, mie nahisi anajifeel inferior kwakuwa anaishi kwako.vp anakazi na kuchangia paying the bills au kilakitu waprovide weye?na kwann aje kuishi kwako?
Mimi mwenyewe najiweza kwa kila kitu, kwa umri yeye kanizidi miezi 3 tuu tumezaliwa mwaka mmoja. Nimempa uhuru wa kutawala familia yetu na kila kitu kwangu kasoro hati ya nyumba tuu, na bado hajiamini. anyway may be baadae atakaa sawa
Habari wana jf,
Jamani mwenzenu nimepata mtu mzima mwenzangu wa kuliwazana cha jabu huyu kaka tunapokuwa tuko faragha namuona hajiamini hata kidogo, licha ya kumwachia mwili wangu wote lakini, bado ananiogopa. Najitahidi kumapa malavidavi yote bado hajiamini,
pili tatizo nililomgundua uwezo wa kuplay game for 20minutes hawezi, yaani nikibadilisha mkao tuu kosa inadidi uibust, je wapenzi ni tatizo gani? maumbile au kwa vile ananiogopa? ushauri wenu tafadhali
sawabho, najua Mungu hapendi lakini hii yote nikujaribu kutaka kumwondolea wasiwasi labda atafunguka na kuondoa woga wake, hawezi kutatua marinda yote.
Khah....,,
Asante kwa ushauri, nimejaribu na ninaendelea kumchimba anatoa sababu nusunusu. Labda kwa vile anakaa kwangu