ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,251
- 8,336
Kumbe sababu unayo bidada, unachotakiwa kufanya ni kumuaminisha kwamba pale ni kwake na asiwe na wasiwasi, wanaume wanapenda kutoa order coz wao ni vichwa vya familia so usimbane eti kwa kuwa anaishi kwako, mpe uhuru awe baba wa familia au sometimes unampiga mkwara, manake sisi nao!!
Asante kwa ushauri, nimejaribu na ninaendelea kumchimba anatoa sababu nusunusu. Labda kwa vile anakaa kwangu