Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,821
- 59,420
denda la asubuhi kabla ya kupiga mswaki je????
Kama mdomo hautemi, HELL YEAHH!!
denda la asubuhi kabla ya kupiga mswaki je????
Lol... TB hii hapana!denda la asubuhi kabla ya kupiga mswaki je????
Lol... TB hii hapana!
perfecto King'asti!:lol:hoto: kinachokufaa na mpenzio sio lazma kiwafae wengine. mbona kuna mambo mengine ya hatari zaidi ya hayo hufanywa na wapenzi? fanyeni na mama erick kinachowafaa na kuwapendeze nyie, kuna couple hazifanyi hata lip kiss, na wako fine tu. ya kina baba enock na mkewe waachieni wenyewe
Lol... TB hii hapana!
LIZZY,NN,HEART na wengine...jibuni hili....
baada ya chumvini na koni,mnarudi na denda tena???????
Sweetlady..Mpenzi wako ataumwa TB wewe hujui??..Mgonjwa wa TB hata chumba hushei nae..
LIZZY,NN,HEART na wengine...jibuni hili....
baada ya chumvini na koni,mnarudi na denda tena???????
mimi nimesema hivyo na nimechekwa humu
nikafikiri niko peke yangu lol
Why not. . . .LIZZY,NN,HEART na wengine...jibuni hili....
baada ya chumvini na koni,mnarudi na denda tena???????
Mie hapana...denda ya kwanza, chumvini/koni panakuwa pa mwisho, mwisho kabla ya kuhitimisha safari.LIZZY,NN,HEART na wengine...jibuni hili....
baada ya chumvini na koni,mnarudi na denda tena???????
TB= The Boss.........
Usimwamini sana SL, consider urself alone apo LOL
Ukiambiwa uthibitishe kwa nini TB asiniamini utaweza?...lolUsimwamini sana SL, consider urself alone apo LOL
Ao wanajidanganya tu, eti wanapendana...Kupendana gani huko kujiletea maradhi.
Yani cjui niseme nini....Kama kupenda ndo uchafu, basi bora nikose penzi.