Jamani ku-share huku kunakubalika?

Mambo vip wana-JF. Kheri ya mwaka mpya. Jamani mi sijui ni ushamba wangu ila nasikitika sana wanandoa/wapenzi ku-share vitu kama MISWAKI, TAULO, NGUO ZETU ZILE, kijiko kimoja wakati wa kula. na vinginevyo vingi jamani hii imekaaje? Je ni sahihi? Je ni afya? Kwako inakubalika?
BEST REGARDS

HIVYO UNAVYOZANI NI USHAMBA, NI USHAMBA KWELI.... wanandoa ni mwili mmoja, usiku kucha wanalala wamekumba"tiana" kisha kuvaliana na kushea taulo isiwezekane vp??? kila mara ndimi zao ziko pamoja, chumvi kwa sana hadi kunako vinyesi ulimi unajivinjari...isiwezekane kwa miswaki???? ILA NATOA ANGALIZO KWA boy/girl friend relationship..... hawa ndio wako kwenye hatari hawapaswi kufanya hayo.....
 
Bado sielewi kwa nini watu tunaona kinyaa kuchangia mswaki ilhali denda, kula koni, na kuzama baharini kusaka chumvi tunaona ni sawa
 
Mambo vip wana-JF. Kheri ya mwaka mpya. Jamani mi sijui ni ushamba wangu ila nasikitika sana wanandoa/wapenzi ku-share vitu kama MISWAKI, TAULO, NGUO ZETU ZILE, kijiko kimoja wakati wa kula. na vinginevyo vingi jamani hii imekaaje? Je ni sahihi? Je ni afya? Kwako inakubalika?
BEST REGARDS

halikubaliki kabisa eti mswaki taulo haifai jamani vitu vingine vya kuiga havifai kabisa
 
aisee kumbe wengi hamuelewi?????

unapokuwa in a mood for sex na love
liquid zinazotoka mwilini ni tofauti na liquid za wakati mwingine...

mfano amevaa boxer yangu kumbe yuko kwenye periods,??umeona???????

akiwa kwenye periods na akiwa yuko msafi na in a mood for sex ni vitu viwili tofauti....

sasa mkizoeshana its ok,hutaweza mzuia siku nyingine? mimi hata denda bila kupiga mswaki asubuhi no....lol
strange eh????

Very strange!!!!.....wakati 'making love' in the morning bila kutoka kitandani is the best one...

Kwa mwanamke msafi hawezi akaamua kuvaa boxer yako wakati yupo kwenye periods..au zile tarehe zinazokaribia,wengi tunakuwa na nguo ya ndani maalum ya kipindi hicho..personally siwezi kuvaa chupi nyeupe nikijua nakaribia period,likewise kuvaa boxer ya jamaa...

Nimeshakuelewa..wewe una kinyaa sana..and nasty 'love making' is not for you!
 
Bado sielewi kwa nini watu tunaona kinyaa kuchangia mswaki ilhali denda, kula koni, na kuzama baharini kusaka chumvi tunaona ni sawa

ni kwasabu unapokuwa in a mood for sex
liquid za mwili zinabadilika......ndo maana mate ya mpenzi wako akiyatema kwenye kisahani huwezi ya lamba....
its different kwa kweli......mwili una siri zake nyiingi mno...
chemicals za mwilini zina meengi ambayo hatuyajui....
 
Bado sielewi kwa nini watu tunaona kinyaa kuchangia mswaki ilhali denda, kula koni, na kuzama baharini kusaka chumvi tunaona ni sawa

Tunachoona ku-share mswaki ni "way unhygienic".

Hapa tunazungumza bila ya influence ya hormones na mazagazaga mengine yanayoziba ufahamu rational wa kawaida tofauti unapokuwa kwenye tendo la kujamiiana kwa mfano (lol @ kujamiiana)
 
Nimeshakuelewa..wewe una kinyaa sana..and nasty 'love making' is not for you!

Boss is either very squeamish or he is a hypochondriac.

But question to you. What is nasty lovemaking? Ain't lovemaking nasty in and of itself?
 
Very strange!!!!.....wakati 'making love' in the morning bila kutoka kitandani is the best one...

Kwa mwanamke msafi hawezi akaamua kuvaa boxer yako wakati yupo kwenye periods..au zile tarehe zinazokaribia,wengi tunakuwa na nguo ya ndani maalum ya kipindi hicho..personally siwezi kuvaa chupi nyeupe nikijua nakaribia period,likewise kuvaa boxer ya jamaa...

Nimeshakuelewa..wewe una kinyaa sana..and nasty 'love making' is not for you!

inawezekana ninachokiandika sicho ninachokifanya lol
hebu nifanyie research ..lol
una any interesting nasty moves?????lol
 
ni kwasabu unapokuwa in a mood for sex
liquid za mwili zinabadilika......ndo maana mate ya mpenzi wako akiyatema kwenye kisahani huwezi ya lamba....
its different kwa kweli......mwili una siri zake nyiingi mno...
chemicals za mwilini zina meengi ambayo hatuyajui....

Tunachoona ku-share mswaki ni "way unhygienic".

Hapa tunazungumza bila ya influence ya hormones na mazagazaga mengine yanayoziba ufahamu rational wa kawaida tofauti unapokuwa kwenye tendo la kujamiiana kwa mfano (lol @ kujamiiana)

The phenomenon of love!
 
Bado sielewi kwa nini watu tunaona kinyaa kuchangia mswaki ilhali denda, kula koni, na kuzama baharini kusaka chumvi tunaona ni sawa

Yaaani....i wonder too! Au wakati wa tukio huwa wanakuwa unconscious hawatambui safi na chafu....while wakati wa kupiga mswaki na mengineyo akili zao huwa sawa..
 
Yaaani....i wonder too! Au wakati wa tukio huwa wanakuwa unconscious hawatambui safi na chafu....while wakati wa kupiga mswaki na mengineyo akili zao huwa sawa..

Nadhani watu wakiwa katika mzuka wa kufanya mapenzi fahamu huwa zinawatoka kwa muda.

Ndo maana kuna wengine wakishamaliza tu kuundama wanaanza kuona kinyaa papo hapo.
 
Yaaani....i wonder too! Au wakati wa tukio huwa wanakuwa unconscious hawatambui safi na chafu....while wakati wa kupiga mswaki na mengineyo akili zao huwa sawa..

Exactly! Ndivyo hasa nisemavyo :lol:
 
Mi cku akikataa kuchangia ntajua ana-do kwingine, hakutakuwa na kupiga mswaki wala kukunanazi tena.
 
Back
Top Bottom