Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,180
- 49,786
Mkuu umeongea vizuri, ila hapo kwa red naomba ufafanuzi kidogo, hiyo picha ya dereva tajiri anaitoa wapi? je anakuwa ni dereva kweli? kama kweli ni dereva, inakuwaje anampa wakati anajua utaratibu ukoje?
Pia hapo kwa blue unaposema nauli haziwezi kupanda, unaweza kutoa maelezo kidogo mtu mwenye bus moja kwa mfano atawezaje kumudu kulipa stahiki hizo bila nauli kupanda kwa abiria?
chukulia mfano wewe ni dereva.
mmiliki atachukua copy ya leseni yako pamoja na picha akaitambulishe kule.
akipewa route anamchukua binamu yake anaendesha basi.
kwa hiyo wewe utakua hauna kazi tena