B' umejiuliza ile kwa ukweli kabisa nafasi yako wewe kwa yeye kua alivo sasa??
Maana kama video games ndo anapenda, kucheza mpira but responsibilities
hataki, mie naona hizo ndo zingekua weapons za kumweka katika mstari...
Mie sio sijadeka, ila sikudekezwa mkuu! hakuna asiependa kudekaMkuu we hukudeka?
kitu muhimu sana hicho umeshauri,thanks for the thought.Siku zote wazazi tunatamani wanetu wakue wawe na mafanikio,tuna toil,tunaamka usiku kuwapeleka shule,tunafuatilia home work zao,kwa hiyo ina frustrate unapoona katoto wala hakaelewi yaani kanakuwa kapo kapo tu na ku take for granted.
nina watoto wengi tu na wengine wamekwishamaliza chuo wanafanya kazi,i have never in my life picked a mjeledi na kumchapa mwanangu.
Utotoni wewe ulichapwa? unadhani ilikusaidia? maishani mwangu sijawahi kuchapwa na baba wala mama yangu(RIP wote wawili).Bakora nilikung'utwa shule,tena sa ingine zile za kupigwa vidole na mgongo wa rula na sidhani kama zilikuwa zinanisaidia lolote.I abhore violence ndo mana hata wanawake zangu huwa siwapigi,wakiniudhi nina namna yangu ya kuwaadhibu.
hapo red .. mh!!!!!!!!!!!!!
Kwa Lugha ya Malkia wanasema - "Tupa Fimbo mtoto aharibikiwe"
ahsante Zanta,angalau nimecheeeeeeeka,mama anakatuma dukani na kenyewe kanasema ..'mama nikirudi utanipa nyonyo?',na hao huwa ni ma last born ananyonya mpaka anaanza la kwanza mbuyuni.unakuta toto kubwa linalilia nyonyo na mama yake anampa, sasa kosa la nani hapo? mtoto au mama?
nina watoto wengi tu na wengine wamekwishamaliza chuo wanafanya kazi,i have never in my life picked a mjeledi na kumchapa mwanangu.
Utotoni wewe ulichapwa? unadhani ilikusaidia? maishani mwangu sijawahi kuchapwa na baba wala mama yangu(RIP wote wawili).Bakora nilikung'utwa shule,tena sa ingine zile za kupigwa vidole na mgongo wa rula na sidhani kama zilikuwa zinanisaidia lolote.I abhore violence ndo mana hata wanawake zangu huwa siwapigi,wakiniudhi nina namna yangu ya kuwaadhibu.
kumnyima sio? yataka moyo,huwa unajisikiaje mwanao anapokuomba kitu tena kwa upole kabisa....mummy please naomba nicheze kidogo...don't you melt inside?
Baba Enock,do you believe in violence as a way of correcting a person?
Wazazi wenzangu jamani hebu tujuzane,nyie ma last born wenu mna wa handle vipi.Wa kwangu yaani pasua kichwa,homework kufanya kwa mbinde,nguo ndo hivo anavaa zimejikunja,ukiingia chumbani mwake utadhani ni Kandahar,chakula ale sahani aache hapo,anachofikiria yeye ni video games,kucheza mpira,sinema,ili mradi basi tu. Toto kubwa la miaka 12 mpaka leo linalialia,yaani.
Na mamemba humu ambao na ninyi ni ma last born hebu nipeni experience ya makuzi yenu,mahusiano yenu na wazazi na kaka/dada zenu yalikuwaje wakati mnakua? pliz pliz tell me something.