Jamani hawa ma last born watatupasua vichwa!

Mi kabla sijachangia nina maswali haya:
1. Huyo last born ni jinsia gani?
2. Wako watoto wangapi jumla katika familia?
3. Je kuna tofauti ya miaka mingapi kutoka kwa last but one?
Ahsante kwa ushirikiano...
 
Nadhani kwa mtizamo wangu hapo ndipo lilipo kosa. Mimi nilichapwa na sijutii kuchapwa na wazazi wangu. Kwa sasa ingawa sijazaa wanangu lakini bado naamini katika nguvu ya kiboko kwa watoto wa umri flani (kuanzia miaka 5 hadi atakamoliza form six). Na watoto za dada na kaka zangu nawachapa inapostahili. Na kwangu mie naona inasaidia kuwanyoosha wanapokengeuka. Hata wa kwangu ntawachapa pia. Siamini kwamba viboko ni ukatili bali ni njia mojawapo ya kumkumbusha mtoto kuwa kakosea

hili la bakora vs no bakora ni zito,na hata serikalini mjadala mzito unaendelea hadi leo kama watoto shuleni waendelee kuchapwa au la? fimbo zinasaidia kumjenga mtoto au zinamharibu kisaikolojia? It is a big debate Mkuu,unaonaje ipatikane siku ifunguliwe thread maalum kujadili jambo hili.
By the way unaamini kwa dhati kabisa kuwa umefanikiwa maishani kwa sababu ya bakora? na wanaofanikiwa bila kuchapwa (kama mimi Bishanga?)
 
mtoto umleavyo ndio akuavyo

badilika kitabia katika malezi ya huyo mtoto , unatakiwa mtoto umwelekeze nini anatakiwa kufanya kuanzia asubuhi hadi usiku akitaka kulala .. na naaamini malezi hayana tofauti kati ya first, mid na last born
wewe ni wa ngapi?
 
Viboko sio violence kama wewe unavodai. Kwani hata hiyo approach mnayosuggest ya "kaa nae umwambie" wengine tunaweza sema unatumia psychological torture kwa kumtia hofu kuwa "ipo siku mzazi nitakufa utabaki peke yako and blah blah blah" so inategemea unavoidifine.
physical/emotional/mental violence zote ni mbaya,kwa hiyo to you bora physical?
 
mimi ni last born,nikijilinganisha na dada zangu,mimi ndio niliokuwa msikivu na nilikuwa sio msemaji.maisha niliyokulia ni ya dhiki tupu,ila namshukuru mama yangu kwa malezi aliyonipa,sikuwa nadeka ila nimejifunza mengi tu.ila kwa kuwa anapenda hizo game,jambo la kwanza ni kumstopisha hizo game,bila ya kufanya school work,hakuna game wala tv.na umsimamie kidete.watoto wengine huwaogopa sana baba kuliko mama.
una uhakika wewe ndo ulikuwa msikivu kuliko wote? can your sisters vouch for that au unajifagilia Mkuu?
 
heri ya wewe mkuu wako mkubwa walau mnaweza kuelewana. Wangu mie ni kadogo halafu kamejua kuwa ndo mtoto peke yake, yaani kila kitu tunaenda opposite
aisee pole,usikachape lakini,we nenda nako taratibu kakikua katabadilika.
 
Mi kabla sijachangia nina maswali haya:
1. Huyo last born ni jinsia gani?
2. Wako watoto wangapi jumla katika familia?
3. Je kuna tofauti ya miaka mingapi kutoka kwa last but one?

Ahsante kwa ushirikiano...
1.kavulana
2.sita,4 girls,eldest 25,youngest 12
3.Wengine wamezaliwa wawili wawili within the same year mama tofauti.
nimejieleza vizuri?
 
physical/emotional/mental violence zote ni mbaya,kwa hiyo to you bora physical?

Hakuna namna ya violence iliyo bora. nachosema adhabu isitafsiriwe kama ni ukatili. Kwa mfano kwa mimi naeamini katika viboko si kwamba situmii approach zingine la hasha. Nazitumia. Kuna hatua kuna kosa anapofanya mtoto mdomo tu unatosha kwamba bwana ee umekosea sitaki urudie hivyo tena. Akirudia kosa ntamkumbusha na akirudia tena kiboko lazima kipite kuonesha sikubaliani nae.

Lakini nikumbushe hakuna njia inayoguarantee matokeo bora zaidi. Sababu wapo waliochapwa na mwisho wa siku wakaendelea na tabia zao mbaya (kushindikana hadi ukubwani). Wapo ambao hawajachapwa walikua wanaonywa tu kwa kauli na kunyimwa na mzazi vitu (privileges) flani flani na bado wakaharibika (shindikana) hadi ukubwani. So adhabu zote inategemea pia na utayari wa mtoto kuamua kurekebishika. ila kinachoamua matumizi ya adhabu ni historia ya familia (kama mmekua na tradition ya kutumia adhabu hiyo toka mwanzo) na uwezo wenu kifedha (hili la pili ni hisia zangu zaidi)
 
Wazazi wenzangu jamani hebu tujuzane,nyie ma last born wenu mna wa handle vipi.Wa kwangu yaani pasua kichwa,homework kufanya kwa mbinde,nguo ndo hivo anavaa zimejikunja,ukiingia chumbani mwake utadhani ni Kandahar,chakula ale sahani aache hapo,anachofikiria yeye ni video games,kucheza mpira,sinema,ili mradi basi tu. Toto kubwa la miaka 12 mpaka leo linalialia,yaani.
Na mamemba humu ambao na ninyi ni ma last born hebu nipeni experience ya makuzi yenu,mahusiano yenu na wazazi na kaka/dada zenu yalikuwaje wakati mnakua? pliz pliz tell me something.

inaoneka ingawa bado hajakuwa; utoto wake ulikuwa unamdekeza mbaya, akifinywa ----------usinifinyie mwanangu; akilia ----------------mtoto umemfanya nini mbona analiia; hebu kamuogeshe mtoto; mtoto amekula; mbona hujamkaangaia mayai; mtoto kakojoa hebu lete tambala ufute; hebu kamuogeshe mtoto, hapo yuko darasa la sita; mtoto kamaliza kula mbona hujatoa vyombo mezani; usinipigie mwanagu sasa kama kakutukana ndio umpige! kwani yeye anajua nini hata ukimpiga;

hayo ni baadhi ya wazazi wanayowambia either mahouse- boy/girls au walezi kwa watoto wao full kuwadekeza, kuwalea kama mayai, matokeo yake akianza kukua mtoto anakuwa kichwa kigumu; kiburi; hajui kazi hata kujifulia chupi yake; sembuse kutoa sahani mezani na huku akijua kuna boi; yote ni matunda ya malezi pengine hata TV chumbani umemwekea iyo homework atafanya saa ngapi naye anawza kucheza game?

Tafakari chukua hatua ; samaki mkunje angali mbichi; hiyo ndio inachangia maadili katika jamii kuzidi kuporomoka.
 
Hakuna namna ya violence iliyo bora. nachosema adhabu isitafsiriwe kama ni ukatili. Kwa mfano kwa mimi naeamini katika viboko si kwamba situmii approach zingine la hasha. Nazitumia. Kuna hatua kuna kosa anapofanya mtoto mdomo tu unatosha kwamba bwana ee umekosea sitaki urudie hivyo tena. Akirudia kosa ntamkumbusha na akirudia tena kiboko lazima kipite kuonesha sikubaliani nae.

Lakini nikumbushe hakuna njia inayoguarantee matokeo bora zaidi. Sababu wapo waliochapwa na mwisho wa siku wakaendelea na tabia zao mbaya (kushindikana hadi ukubwani). Wapo ambao hawajachapwa walikua wanaonywa tu kwa kauli na kunyimwa na mzazi vitu (privileges) flani flani na bado wakaharibika (shindikana) hadi ukubwani. So adhabu zote inategemea pia na utayari wa mtoto kuamua kurekebishika. ila kinachoamua matumizi ya adhabu ni historia ya familia (kama mmekua na tradition ya kutumia adhabu hiyo toka mwanzo) na uwezo wenu kifedha (hili la pili ni hisia zangu zaidi)

Nakupongeza sana Mkuu ,kwa kweli sina la kuongezea hapa,thanks.
 
inaoneka ingawa bado hajakuwa; utoto wake ulikuwa unamdekeza mbaya, akifinywa ----------usinifinyie mwanangu; akilia ----------------mtoto umemfanya nini mbona analiia; hebu kamuogeshe mtoto; mtoto amekula; mbona hujamkaangaia mayai; mtoto kakojoa hebu lete tambala ufute; hebu kamuogeshe mtoto, hapo yuko darasa la sita; mtoto kamaliza kula mbona hujatoa vyombo mezani; usinipigie mwanagu sasa kama kakutukana ndio umpige! kwani yeye anajua nini hata ukimpiga;

hayo ni baadhi ya wazazi wanayowambia either mahouse- boy/girls au walezi kwa watoto wao full kuwadekeza, kuwalea kama mayai, matokeo yake akianza kukua mtoto anakuwa kichwa kigumu; kiburi; hajui kazi hata kujifulia chupi yake; sembuse kutoa sahani mezani na huku akijua kuna boi; yote ni matunda ya malezi pengine hata TV chumbani umemwekea iyo homework atafanya saa ngapi naye anawza kucheza game?

Tafakari chukua hatua ; samaki mkunje angali mbichi; hiyo ndio inachangia maadili katika jamii kuzidi kuporomoka.

bonge la tuition,ahsante Rubi.
 
Mimi ni last born ndugu na ndiyo mtoto wa kwanza katika familiya kuaza life mapema na ninajua nini ninachokifanya,malezi yako kwa mtoto wako yanalete impact hiyo
 
mi ni last born pia,but u dot com ndo unaharibu watoto wengi sana,mpe mboko za kutosha na majukumu yaendayo na umri wake na make sure anatekeleza,jaribu kumjengea ratiba amabayo lazima aifate,mpangie muda wa games,masomo,ku socialize na wenzake na ndugu,kujihusisha na dini na mengineyo,yote yakienda sambamba tutajenga taifa bora,mfano mm by da time nipo form one nilikuwa nikiamshwa saa moja na kupiga deki vyoo vyote na kufagia uwahi before kwenda shule,,mjengee kujitegemea,mjengeee ratiba kamilifu na punguza kuchekacheka nae punde anapofanya upuuzi
 
mimi ni last born na niko vizuri tu wa kulaumiwa hapo ni nyie wazazi kwani hayo magame kayaokota si mmempa wenyewe jamani.
mlee mtoto kwa njia nzuri bwana wala hataicha hadi atakapokuwa mzee
ahhhhhhhhh,kumbe ni last born???
 
mimi ni last born na niko vizuri tu wa kulaumiwa hapo ni nyie wazazi kwani hayo magame kayaokota si mmempa wenyewe jamani.
mlee mtoto kwa njia nzuri bwana wala hataicha hadi atakapokuwa mzee

Point!
Hata mimi ni last born lakini sikuwahi kulaumiwa kwa u-last born wangu. Ila kuna katabia ambako ninako na sijui ni kwa nini! Napenda sana kuchezea nyonyo!
 
Mimi ni last born ndugu na ndiyo mtoto wa kwanza katika familiya kuaza life mapema na ninajua nini ninachokifanya,malezi yako kwa mtoto wako yanalete impact hiyo

last born na hapo hapo mtoto wa kwanza? sijakuelewa Mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom