Jakaya M. Kikwete ZINDUKA CHADEMA wanakuondoa!

Nyami2010

JF-Expert Member
Dec 2, 2009
227
50
Ninaomba niwe mkweli katika hili. Nilikuwa ninampenda sana Jakaya Kikwete na bado nitaendelea kumpenda, japo mimi ni mtoto wa mkulima tena wa jembe la mkono niliyebahatika kusoma vizuri enzi hizo kwa sababu ya sera za Hayati Mwl. Nyerere - Baba wa Taifa.

Jakaya Mrisho Kikwete ni mtu mstaarabu na muungwana sana. Hapendi kukosana sana na watu, hususani anaowafahamu. Hilo ndilo nilomtafuna kwa kasi yeye binafsi na chama chake!

Wito wangu kwa Mh. J.K, chondechonde zinduka CHADEMA wameishaingia sebureni bado tu kuingia chumbani! Walianza pole pole na tukadhani ni kikundi cha msimu, lakini ishara na viashilia vyote vinaonyesha, CHADEMA siyo tena Chama cha Msimu. Ninaandika haya nikijua kuwa hapa jamvini wengi ni CDM, lakini sina namna yoyote ya kukutumia ujumbe wa kukushauri sababu ya itifaki yako kama Rais. Baadhi ya watu wako waliokuzunguka aidha hawakushauri vizuri au bado wana underestimate CHADEMA.

Dr. Slaa kama kamanda mkuu wa CDM ni mtu makini, jasiri, mvumilivu na mpiganaji wa kweli. Ninampenda sana na kumuombea kwa Mungu afya njema japo sipo CDM. Ninapoandika haya ninajua ninachokisema na sina ushabeki wowote ni CDM wala CCM.

J.K tafadhari, zinduka CHADEMA wameingia sebureni sasa wanajipanga kuingia master bedroom!
 
Kiongozi!!!
Ushauri wako kwa Jk ni sawa na tone la Maji jangwani alitaleta gharika..
 
ooooohh kishachelewa yee bado ndio anaoga watu wako sebureni watamchomoa hata huko aliko. Good umekubali ila jk hayupo anakula bata nchi zilizoandaliwa na wenzake
 
tshsssssss mwache arare asharara sana hata akiamka atakuwa na wenge tz is veryy big for ccm waachie ngazi kiukweli hata kikwete mwenyewe ni shabiki wa cdm basi tu anaona aibu kusema.
 
Double X, inauma maana wenzie CDM wako sebureni wanapanga kuingia bedroom lakini yeye kapitia dirishani yuko Windhoek.....du kaaaazi kweli kweli!!!
 
Ninaomba niwe mkweli katika hili. Nilikuwa ninampenda sana Jakaya Kikwete na bado nitaendelea kumpenda, japo mimi ni mtoto wa mkulima tena wa jembe la mkono niliyebahatika kusoma vizuri enzi hizo kwa sababu ya sera za Hayati Mwl. Nyerere - Baba wa Taifa.

Jakaya Mrisho Kikwete ni mtu mstaarabu na muungwana sana. Hapendi kukosana sana na watu, hususani anaowafahamu. Hilo ndilo nilomtafuna kwa kasi yeye binafsi na chama chake!

Wito wangu kwa Mh. J.K, chondechonde zinduka CHADEMA wameishaingia sebureni bado tu kuingia chumbani! Walianza pole pole na tukadhani ni kikundi cha msimu, lakini ishara na viashilia vyote vinaonyesha, CHADEMA siyo tena Chama cha Msimu. Ninaandika haya nikijua kuwa hapa jamvini wengi ni CDM, lakini sina namna yoyote ya kukutumia ujumbe wa kukushauri sababu ya itifaki yako kama Rais. Baadhi ya watu wako waliokuzunguka aidha hawakushauri vizuri au bado wana underestimate CHADEMA.

Dr. Slaa kama kamanda mkuu wa CDM ni mtu makini, jasiri, mvumilivu na mpiganaji wa kweli. Ninampenda sana na kumuombea kwa Mungu afya njema japo sipo CDM. Ninapoandika haya ninajua ninachokisema na sina ushabeki wowote ni CDM wala CCM.

J.K tafadhari, zinduka CHADEMA wameingia sebureni sasa wanajipanga kuingia master bedroom!

kaka umemshauri vizuri sana lakini muda ndo umeshakwisha. Pili kaka sisi JF wengi si wana CDM kama unavyodai ila sisi ni wana CCM wafu na sasa tunaona CHADEMA ndicho chama pekee chenye kutetea maslahi yetu na tayari kina qualify kuchukua dola hata kuanzia kesho asubuhi.
 
Ninaomba niwe mkweli katika hili. Nilikuwa ninampenda sana Jakaya Kikwete na bado nitaendelea kumpenda, japo mimi ni mtoto wa mkulima tena wa jembe la mkono niliyebahatika kusoma vizuri enzi hizo kwa sababu ya sera za Hayati Mwl. Nyerere - Baba wa Taifa.

Jakaya Mrisho Kikwete ni mtu mstaarabu na muungwana sana. Hapendi kukosana sana na watu, hususani anaowafahamu. Hilo ndilo nilomtafuna kwa kasi yeye binafsi na chama chake!

Wito wangu kwa Mh. J.K, chondechonde zinduka CHADEMA wameishaingia sebureni bado tu kuingia chumbani! Walianza pole pole na tukadhani ni kikundi cha msimu, lakini ishara na viashilia vyote vinaonyesha, CHADEMA siyo tena Chama cha Msimu. Ninaandika haya nikijua kuwa hapa jamvini wengi ni CDM, lakini sina namna yoyote ya kukutumia ujumbe wa kukushauri sababu ya itifaki yako kama Rais. Baadhi ya watu wako waliokuzunguka aidha hawakushauri vizuri au bado wana underestimate CHADEMA.

Dr. Slaa kama kamanda mkuu wa CDM ni mtu makini, jasiri, mvumilivu na mpiganaji wa kweli. Ninampenda sana na kumuombea kwa Mungu afya njema japo sipo CDM. Ninapoandika haya ninajua ninachokisema na sina ushabeki wowote ni CDM wala CCM.

J.K tafadhari, zinduka CHADEMA wameingia sebureni sasa wanajipanga kuingia master bedroom!

JK ni mwanaume. Amefanya kile ambacho hata nyerere alikuwa hawezi kukiruhusu wala kukivumilia. Enzi za Nyerere leo hii watu kama Slaa wangekuwa ukimbizini. Kikwete anasoma alama za nyakati. anataka kujenga Tanzania ya watu majasiri wanaoamua nani awe kiongozi wao na nani asiwe.

Wengi sana na hasa ndani ya ccm hili linawauma sana. Wanapigwa mawe. Wanazomewa. wanafanywa chochote na wananchi, lakini Jk hana habari. Katulia tuli na Salma. Kikwete ni mwanamapinduzi kwa maana ya kuruhusu wananchi wajiamulie aina ya watu wanaotaka kuongozwa nao.

JK nakuomba sana. Popote pale ulipo, ruhusu maandamano, ruhusu watu kuzungumza na kukusanyika, agiza vyombo vya usalama kulinda raia bila ubaguzi wa kiitikadi, waache watanzania wajikomboe wanavyotaka wao.

CCM imejaa mizee yenye misimamo ya kinyonyaji. JK mwenyewe anajua, lakini anakosa la kufanya. Anachoona ni busara ni kunyamaza. Safi!


Long live JK.
 
JK ni mwanaume. Amefanya kile ambacho hata nyerere alikuwa hawezi kukiruhusu wala kukivumilia. Enzi za Nyerere leo hii watu kama Slaa wangekuwa ukimbizini. Kikwete anasoma alama za nyakati. anataka kujenga Tanzania ya watu majasiri wanaoamua nani awe kiongozi wao na nani asiwe.

Wengi sana na hasa ndani ya ccm hili linawauma sana. Wanapigwa mawe. Wanazomewa. wanafanywa chochote na wananchi, lakini Jk hana habari. Katulia tuli na Salma. Kikwete ni mwanamapinduzi kwa maana ya kuruhusu wananchi wajiamulie aina ya watu wanaotaka kuongozwa nao.

JK nakuomba sana. Popote pale ulipo, ruhusu maandamano, ruhusu watu kuzungumza na kukusanyika, agiza vyombo vya usalama kulinda raia bila ubaguzi wa kiitikadi, waache watanzania wajikomboe wanavyotaka wao.

CCM imejaa mizee yenye misimamo ya kinyonyaji. JK mwenyewe anajua, lakini anakosa la kufanya. Anachoona ni busara ni kunyamaza. Safi!


Long live JK.

Umechemka mjomba, JK anakaa kimya sababu anajua hana jeuri kifedha anategemea hao anaowatuhumu kuwasaidia kifedha CDM.uMEFUATILIA JANA HOTUBA YA KI-HISTORIA YA bARRACK OBAMA?????? kuhusu madikteta wanaobaka demokrasia???.

CCM kwa sasa hawana meno walitegemea mabavu sasa mtindo huo umedhibitiwa na wenye fedha.Wanakuambia ukitaka financial support basi huna budi uachie demokrasia ichukue mkondo wake.Na ndiyo CCM wanatekeleza, wanaumia lakini watafanyaje??? tajiri kasema, USA, UK.......
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Ukweli ndio huu...!
Watanzania waliowengi hawapati access za magazeti, redio, na televisions.... na hao wachache wenye access na hivyo vitu bado wengi wao ndio wenye uwezo wa kuchambua pumba na mchele....!
Sasa wakati CHADEMA wakitembea physically kwenda kuzungumza na wale wengi wasio na access na vyombo vya habari na pia wenye access navyo, CCM wanabaki kuwathibiti vyomba vya habari kuwa nini kitangazwe, kitangazwaje na nini kisitangazwe.....!
Matokeo yake ni CCM kuja kujishtukia wakati mtaji wake mkubwa; watanzania maskini, wamekwisha nyakuliwa na CHADEMA....!
CCM wamekuwa wakitumia maneno matupu, na machache yasiyo na vielelezo (mfano taarifa za ki-intelejensia), huku CHADEMA wakitumi vitendo kufikisha hisia zao kwa wanachi, na kuwashawishi ......! Kitu ambacho hata enzi za kale ilishatamkwa kuwa "Maneno matupu hayavunji mfupa".....!
 
Ninaomba niwe mkweli katika hili. Nilikuwa ninampenda sana Jakaya Kikwete na bado nitaendelea kumpenda, japo mimi ni mtoto wa mkulima tena wa jembe la mkono niliyebahatika kusoma vizuri enzi hizo kwa sababu ya sera za Hayati Mwl. Nyerere - Baba wa Taifa.

Jakaya Mrisho Kikwete ni mtu mstaarabu na muungwana sana. Hapendi kukosana sana na watu, hususani anaowafahamu. Hilo ndilo nilomtafuna kwa kasi yeye binafsi na chama chake!

Wito wangu kwa Mh. J.K, chondechonde zinduka CHADEMA wameishaingia sebureni bado tu kuingia chumbani! Walianza pole pole na tukadhani ni kikundi cha msimu, lakini ishara na viashilia vyote vinaonyesha, CHADEMA siyo tena Chama cha Msimu. Ninaandika haya nikijua kuwa hapa jamvini wengi ni CDM, lakini sina namna yoyote ya kukutumia ujumbe wa kukushauri sababu ya itifaki yako kama Rais. Baadhi ya watu wako waliokuzunguka aidha hawakushauri vizuri au bado wana underestimate CHADEMA.

Dr. Slaa kama kamanda mkuu wa CDM ni mtu makini, jasiri, mvumilivu na mpiganaji wa kweli. Ninampenda sana na kumuombea kwa Mungu afya njema japo sipo CDM. Ninapoandika haya ninajua ninachokisema na sina ushabeki wowote ni CDM wala CCM.

J.K tafadhari, zinduka CHADEMA wameingia sebureni sasa wanajipanga kuingia master bedroom!
gimg_1408635.jpg
 
gimg_1408635.jpg

hapa ndani wote ni ccm wafu.
wewe mwana jamvi kama no msomi mzuri kwa nini tusiwasiliane ukaja kwetu huku tukaendeleza mapambano?
 
Pengine, kimya kingi kina mshindo...................

Ninahisi, kwa jinisi J.K alivyo muungwana kama wanaotakiwa kuvua magamba wanadai yamekwama shingoni na Bunge likaendela kuwa moto, anaweza amua kuvunja Bunge na kuitisha Uchaguzi Mkuu kuliko kusubiri mambo yaharibikie mikononi mwake. Lolote lawazekana kabla ya 2015!

Ninajua arudipo salama toka Windhoek, kwanza ataenda kuwapa pole wafiwa kwa Marehemu Sheikh Yahaya (RIP). Lakini Mh. J.K usiendelee kulala usingizi......hali si shwari kiasi cha hivyo!
 
Afadhali umeliona hilo, wacha alale maana hata kusikia kama wapo sebuleni hajasikia bado labda atuambie ni mpango wake wa kuikomboa tz
 
andika maneno aya: RAIS WA KWANZA KURHUSU MAANDAMANO YA AMANI NA RAIS WA MWISHO KUTOKA CCM ALIKUWA JK MRISHO,MTANASHATI KUTOKA MSOGA. aya yatakuwa maneno yangu katika kitabu changu nitakachokitoa mwaka 2014 mwishoni,kitaitwa 'NOW AFFRICA RISES TO DEMOCRATIC DICTATORSHIP BY Gsana.
 
Back
Top Bottom