'Ombea adui yako aishi siku nyingi,
ili utakapobarikiwa ajionee kwa macho,
Hamna haja kabisa afe kabla hajaona,
Baraka ambazo Mungu ameweka mbele yako....!'
atajuta...
kila kitu kipo kuanzia human resource mpaka financial resource.
wabunge 80*90, 000 000 = 7,200,000,000
plus 20 000 000 000 alizosema chadema tumepewa.
plus support ya waTZ.
kama ana mimba 'itatoka'
PLEASE CHADEMA DO THAT!!! Hatutaki siasa katika hili wala baadae muwe kimya! these are rarely opportunity that will never come twice! Mahakamani panatosha sana.
Jamani, humu JF hakuna utaratibu? Kila mtu anaanzisha uzi wenye mada ile ile. Nadhani ni vema kupitia "New posts" kabla hujatunga uzi mwingine!
Chama cha demokrasia na maendeleo chadema kimesema kitamshita waziri wa maendeleo ya jamii sophia simba kutokana na waziri huyo kudai kwamba CDM wanafadhiliwa na baadhi ya balozi ili kuleta vurugu. Hayo yamesemwa na john mnyika alipokuwa akiongea na wanahabari. Itv-habari.
Na Membe?
Hata kama kuna tetesi vi vyema Serikali ingefanya tafiti na kutoa taarifa kamili kuliko haya matamshi.
Enzi za mwalimu mambo yalikuwa Kimya kimya
JK usimwache kia mtu aseme badala yako tutakufa watanzania tusio na hatia
Yule kichaa aliyemzaba kofi Mwinyi alishitakiwa huyu ni waziri mzima kama ana kichaa atakisema akiwa kizimbani.Jamani kama ni Asofia Simba hakuna haja ya kumshitaki,huyu mama ana ugonjwa wa kichaa ndicho kinamsumbua jasa pale anapoacha kumeza dawa