chama cha demokrasia na maendeleo chadema kimesema kitamshita waziri wa maendeleo ya jamii sophia simba kutokana na waziri huyo kudai kwamba cdm wanafadhiliwa na baadhi ya balozi ili kuleta vurugu. Hayo yamesemwa na john mnyika alipokuwa akiongea na wanahabari. Itv-habari.
hv kwann huyo mpumbavu SS hafi?
Na Membe?
Jamani, humu JF hakuna utaratibu? Kila mtu anaanzisha uzi wenye mada ile ile. Nadhani ni vema kupitia "New posts" kabla hujatunga uzi mwingine!
Trust yangu kwa niliyemwekea bold inazidi kupungua kadili ninavyoendelea kumjua.Cdm is clean. Labda kama wamepewa msaada wa watz wenyewe. Na msaada wenyewe ni kukubali ukweli wa cdm! Ningeomba Mnyika waongeze iwe kesi ya madai na itaje kiasi icho icho alichotaja Sophia Simba bil.20 kama fidia ya image ya chama,nadhani hapa Marando, Lissu na akina mh.Albert Msando watalisikia ombi langu. Nawasilisha.
atajuta...
kila kitu kipo kuanzia human resource mpaka financial resource.
wabunge 80*90, 000 000 = 7,200,000,000
plus 20 000 000 000 alizosema chadema tumepewa.
plus support ya waTZ.
kama ana mimba 'itatoka'
Chama cha demokrasia na maendeleo chadema kimesema kitamshita waziri wa maendeleo ya jamii sophia simba kutokana na waziri huyo kudai kwamba CDM wanafadhiliwa na baadhi ya balozi ili kuleta vurugu. Hayo yamesemwa na john mnyika alipokuwa akiongea na wanahabari. Itv-habari.
John Mnyika ametangaza chama cha chadema kumshitaki Sophia Simba kwa kusema chama cha CHADEMA kinafadhiliwa na nchi za magharibi.
Source: Habari ya usiku ITV
Chama cha demokrasia na maendeleo chadema kimesema kitamshita waziri wa maendeleo ya jamii sophia simba kutokana na waziri huyo kudai kwamba CDM wanafadhiliwa na baadhi ya balozi ili kuleta vurugu. Hayo yamesemwa na john mnyika alipokuwa akiongea na wanahabari. Itv-habari.
Huyu mama kweli sharobaro, yeye kakaa kwenye vikao huko kasikia akina membe wanapika majungu yeye anakuja kuropoka hadharani.
Hivi hana watoto waliosoma kuweza kutembelea JF ili wawe wanamuonya mama yao asiropoke kama baamedi?
Unafikiri mahakamani wanaimba taarabu.Hamumuwezi, ngoma nzito ile