Ukweli gani unautakaHakuna lolote hapo Tisha toto hizo.
Kwani ukweli umedhihiri, msituletee fujo hapa nchini
Baada ya Marando kusoma mashitaka, ataulizwa
Hakimu= Ulisema au hukusema ndiyo au hapana
Simba= NDIYO nilisema
Hakimu= Hebu tukumbushe CDM walipewa sh. ngapi
Simba= Bil. 20
Hakimu=Hizo balozi na nchi zao zilizotoa hizo bil.20 unazifahamu
Simba= a-e-i.......
Hakimu= Nasema tuambie hizo ni balozi gani
Simba= Unajua ndugu Hakimu hata Mh. Membe analisema na analijua hili
Hakimu= Nakuuliza wewe, kwani wakati unatamka ulitumwa na Membe
Simba= Hapana hakunituma ila anaweza kuja kunisaidia kuzitaja maana ziko tano
Hakimu= Jisaidie mwenyewe na yeye ana kesi yake
Hakimu= Mh. Simba una kesi ya kujibu, mwendesha mashitaka andaa kesi na siku ya kusikilizwa, Koooooooorti.